Tuliosoma majengo secondary ya Moshi Kilimanjaro (Form 1-form 4) kuanzia mwaka 2006-2009 tuonane hapa tujikumbushie

Tuliosoma majengo secondary ya Moshi Kilimanjaro (Form 1-form 4) kuanzia mwaka 2006-2009 tuonane hapa tujikumbushie

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Kipindi kile ukipata wastani wa 81 Na kuendelea Kwenye masomo yote unasoma bure ila iyo mitihani ugumu wake na usahihishaji ulivyo Strict wacha kabisa, mnamkumbuka Laurent shilingi aliyesemekana alisoma bure kuanzia form 1 had 6, akina sabas oisso aliekuwa wa 7 kitaifa mtihani wa form 4 akawa star wa shule, ila form 6 akaangukia pua?? Wolfgang seiya aliekuwa wa 3 kitaifa? Mwanafunzi Fulgence mashauri mtaalamu wa hesabu

Wapi Mary Jackline Odhiambo na Melkizedek Carol wa morning news Pale paredi? Na yule ticha wa jogi aliyesemekana ni papai? Kuruka trench, mwalimu meraba wa physics, mwalimu mrina wa hesabu, papa kichawele those were the days..
 
Kipindi kile ukipata wastani wa 81 Na kuendelea Kwenye masomo yote unasoma bure ila iyo mitihani ugumu wake na usahihishaji ulivyo Strict wacha kabisa, mnamkumbuka Laurent shilingi aliyesemekana alisoma bure kuanzia form 1 had 6, akina sabas oisso aliekuwa wa 7 kitaifa mtihani wa form 4 akawa star wa shule, ila form 6 akaangukia pua?? Wolfgang seiya aliekuwa wa 3 kitaifa? Mwanafunzi Fulgence mashauri mtaalamu wa hesabu

Wapi Mary Jackline Odhiambo na Melkizedek Carol wa morning news Pale paredi? Na yule ticha wa jogi aliyesemekana ni papai? Kuruka trench, mwalimu meraba wa physics, mwalimu mrina wa hesabu, papa kichawele those were the days..
Ww ni she
 
Back
Top Bottom