Mkomawatu JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 273 Reaction score 123 May 21, 2013 #1 Habari zenu wadau!,,mimi ni miongoni mwa tulisoma Mbezi Beach sekondari kuanzia mwaka 2001 hadi 2005,,naomba tujikumbushe pilika zetu enzi hizo chini ya mwalimu Ng'ang'a,Mshana,Sijali,,pilika za kimichezo na mengine mengi,,karibuni wadau wangu!
Habari zenu wadau!,,mimi ni miongoni mwa tulisoma Mbezi Beach sekondari kuanzia mwaka 2001 hadi 2005,,naomba tujikumbushe pilika zetu enzi hizo chini ya mwalimu Ng'ang'a,Mshana,Sijali,,pilika za kimichezo na mengine mengi,,karibuni wadau wangu!