Habari zenu wadau!,,mimi ni miongoni mwa tulisoma Mbezi Beach sekondari kuanzia mwaka 2001 hadi 2005,,naomba tujikumbushe pilika zetu enzi hizo chini ya mwalimu Ng'ang'a,Mshana,Sijali,,pilika za kimichezo na mengine mengi,,karibuni wadau wangu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.