Hivi hio kuwahi number ndio mlikua mnafanyaje.?Kuwahi namba halafu siku hiyo hawachapi wakati kila ukichelewa wanachapa
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Nimetoboa watu na bikari sana ,na kioo changu spesho wakati wa paredi ,nimeona sana vyupi vilivyotoboka dah
Daaah!! Aisee umenikumbusha mbaali sanaaMambo ya shule ya msingi bwana, tulikuwa tunapenda kushindana idadi ya "tiki"na "vema" kwenye madaftari
Hii ilinipa fimbo 3 za moto mstarini, chini ya bendera shule nzima ikishuhudia. Mbolea sikuwa nayo nkajaza udongo mweusi na mbolea kidogo juu, watu walipigwa na kuambiwa waige mfano wangu wa kutii na kuja na mbolea nyingi... Tulipoenda kumwaga kuna bwe.ge aliniona akamwambia mwl mkuu, sitamsahau yule bwe.ge wala mwl mkuuHawa walimu wa ajabu shule ya mjini mnatumwa mbolea ati debe moja unakuja na debe tunaingia kwenye jalala la shule tunajaza makaratasi juu tunatandika gazeti halafu unajaziwa mikono miwili mbolea unatandaza ikikaguliwa unaenda mwaga makaratasi kwenye sehemu ya mbolea mwalim akiangalia anakuta jalala tupu karatasi zote zimejaa kwenye mbolea aliacha mwenyewe kuagiza