Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Habar za jion ndugu zangu.poleni na mihangaiko ya kila siku.na mimi najipa pole leo kwa kukesha Jf.
Moja kwa moja kwenye lengo
Wapendwa Jf ni kubwa na ina watu waliotoka sehemu mbalimbali kwa pamoja sisi ni familia.
Jamani naomba kama kuna yeyote huku kasoma Tecc iwe ni O level au Advance tufahamiane tafadhali kama hamtojali.hata ikitupendeza na kukubaliana tukamuone mzee wetu Kapama japo asante tu maana amewasaidia wengi (hapa najua kuna watakaokuja na ooohooo akatumwa kutuchunguza mara sijui nini.kama itakupendeza tufahamiane tu mkuu)
Kuna watakaouliza kawasaidia nini!!kama wewe hukusoma pale iwe ni kwanzia mwaka 2014 au 2015 kurudi nyuma hutojua nini namaanisha
Kufahamiana ni kuzuri jaman japo kwa hizi hizi Id fake si mbaya.
Nawasilisha
Moja kwa moja kwenye lengo
Wapendwa Jf ni kubwa na ina watu waliotoka sehemu mbalimbali kwa pamoja sisi ni familia.
Jamani naomba kama kuna yeyote huku kasoma Tecc iwe ni O level au Advance tufahamiane tafadhali kama hamtojali.hata ikitupendeza na kukubaliana tukamuone mzee wetu Kapama japo asante tu maana amewasaidia wengi (hapa najua kuna watakaokuja na ooohooo akatumwa kutuchunguza mara sijui nini.kama itakupendeza tufahamiane tu mkuu)
Kuna watakaouliza kawasaidia nini!!kama wewe hukusoma pale iwe ni kwanzia mwaka 2014 au 2015 kurudi nyuma hutojua nini namaanisha
Kufahamiana ni kuzuri jaman japo kwa hizi hizi Id fake si mbaya.
Nawasilisha