Tuliosoma UG tukutane hapa

poa poa mkuu lakini samahani je unajua vituo au sehemu katika jiji la Kampala au entebe ambapo mtu anaweza akafanya mtihani as purely private candidate
Hapana boc. Nilisoma kidogo nkarudi TZ kwasababu Kibuli hawakua na kiswahili. Na sithani kama wanautaratibu huo

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Waliosoma ug asilimia kubwa walikumbwa na home sickness mm nimepiga kule ki roho mbaya km vile sina baba sina mama huku tz,nna wanangu wa kisomali tumekula sana macron ila maisha kule tafu ukiwa lele mama mwezi tu unaomba nauli ya kurudi home,kikomandoo,obutunda,omunanas,kaunga ne bijanjaro vilituhusu sana
Ila big up kwa Mr mu7 kwa kuwalinda forena
 
Dah.. Kaunga na bijanjaro...umenikumbusha mbali sana mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aaaah aaaah way back in uganda....

Ule mji kampala ni taamu saaana style ya maisha yao.... starehe... vyakula e.t.c

Wana club saaafi saaana sijaona huku tz kwa kweli...

Club 9, hancy.. la bonita... angenour... viva... silk...
Nyce saàna


Kulikua na kitu kinaitwa KIMASO cjui km unakijua mleta uzi... ndo yalikua mambo yangu.

Kampala murunji saaana.
 
Wewe ulikua unashinda kabalagala... Au kamwokya... Hahahaa
 
Wale wa St Lawrence, Hana Mixed, St Marys Kitende, Kabojja boys, Eagles Nest utawajua tuu...
 
Wewe ulikua unashinda kabalagala... Au kamwokya... Hahahaa
Plate namba yangu ilikuwa inapatikana sehemu za kihuni kuanzia huko kabalagala,ndeeba,katwe,kisenyi ndo palikuwa km home kabisa nimekaa sana pale kwa wahuni,huko eagles nest nilikuwa naenda kula ugali wao na bijanjalo km na mm nasoma pale vile si unajua smtime maji yakiwa ya shingo??
 
poa poa mkuu lakini samahani je unajua vituo au sehemu katika jiji la Kampala au entebe ambapo mtu anaweza akafanya mtihani as purely private candidate
Kampala citizen sec school mkuu IPO karibu na kisenye katikati ya jiji
 
Mwaka gan mkuu ulikuwa unatimba Eagles nest kupiga chaunga unayo sema ni kweli pale hakuna ulinzi kuzamia rahis sana muda wa munuso
 
Kimaso sikipati icho mkuu
 
Nilikuwa, kabale bukinda seminary s.1-4, so. 5-6 kisubi seminary lkn Nilikuwa naishi makerere University, I miss ug gweee
 
Daah silk ndio club yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia niliyo yakute mule sikutaman tena kuingia club sijui ushamba.....
 
St Barnabas iko miggade daah hii shule sitakaa niisahauu
Ila maisha ya kikomando [HASHTAG]#pancakes[/HASHTAG] zakupikwa kwandizi [HASHTAG]#chipolii[/HASHTAG] hii kwa wa Northern hio ilikua 2012--2013
 
Kimansulo kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaka gan mkuu ulikuwa unatimba Eagles nest kupiga chaunga unayo sema ni kweli pale hakuna ulinzi kuzamia rahis sana muda wa munuso
2011,2012,2013 ila siku hizi papo strictly hakuna kuingia ingia ovyo kwa wasiosoma pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…