DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Huyo mchangiaji ni illiterate!Wakika ndio nini?
Au unamaanisha UHAKIKA?
tafsiri ya kutoboa kila mtu anayo ya kwake. Kwa kuwa kipimo cha kutoboa ni cha mtu binafsi, ibaki kuwa sahihi mtu akisema ametoboa kwa kuezeka bati baada ya kukaa muda mrefu kwenye makuti. Naona mnataka kuleta viwango vya akina Bill Gate huku Uswahilini kwetu.ππππ.. dogo kma kutoboa ni hukuπππππ.. uzi ufutwe tuliojiajiri, walioajiriwa woote tumetoboaππππ. Maana njia pekee kundi hizo mbili ishindikane 500 kwenye akiba ni ulevi wa kupindukiaπππ.
Dogo jitafakari.. endelea kupambana, bado sana usijipe moyo na viuzi hviππππ. Nimecheka leo
Umeona alichojibutafsiri ya kutoboa kila mtu anayo ya kwake. Kwa kuwa kipimo cha kutoboa ni cha mtu binafsi, ibaki kuwa sahihi mtu akisema ametoboa kwa kuezeka bati baada ya kukaa muda mrefu kwenye makuti. Naona mnataka kuleta viwango vya akina Bill Gate huku Uswahilini kwetu.
Hapo hata baiskeli usafiri tayari au kujilipia daladala kwa uhakikaKutoboa maisha kwa standard life za bongo au kipimo chetu kua na wakika na vifuatavyo hapa Tz tuhitaji mengi
1. Uhakika wa kula milo mitatu.
2. Shelter au nyumba ya uhakika.
3.clothing nguo za uhakika.
4. Akiba ya pesa benki
5. Usafiri wa wakika
6. Amani ya mwoyo na akili
7. Bima ya afya au wakika wakupata matibabu.nk