Tuliotoboa maisha bila kuwa na godfather njooni tujadiliane

Tuliotoboa maisha bila kuwa na godfather njooni tujadiliane

😂😂😂😂.. dogo kma kutoboa ni huku😂😂😂😂😂.. uzi ufutwe tuliojiajiri, walioajiriwa woote tumetoboa😂😂😂😂. Maana njia pekee kundi hizo mbili ishindikane 500 kwenye akiba ni ulevi wa kupindukia😂😂😂.
Dogo jitafakari.. endelea kupambana, bado sana usijipe moyo na viuzi hvi😂😂😂😂. Nimecheka leo
tafsiri ya kutoboa kila mtu anayo ya kwake. Kwa kuwa kipimo cha kutoboa ni cha mtu binafsi, ibaki kuwa sahihi mtu akisema ametoboa kwa kuezeka bati baada ya kukaa muda mrefu kwenye makuti. Naona mnataka kuleta viwango vya akina Bill Gate huku Uswahilini kwetu.
 
tafsiri ya kutoboa kila mtu anayo ya kwake. Kwa kuwa kipimo cha kutoboa ni cha mtu binafsi, ibaki kuwa sahihi mtu akisema ametoboa kwa kuezeka bati baada ya kukaa muda mrefu kwenye makuti. Naona mnataka kuleta viwango vya akina Bill Gate huku Uswahilini kwetu.
Umeona alichojibu
 
Concept ya kutoboa ni variable factor. Kila mmoja ana namna yake ya kujihisi ametoboa
 
Kutoboa maisha kwa standard life za bongo au kipimo chetu kua na wakika na vifuatavyo hapa Tz tuhitaji mengi

1. Uhakika wa kula milo mitatu.
2. Shelter au nyumba ya uhakika.
3.clothing nguo za uhakika.
4. Akiba ya pesa benki
5. Usafiri wa wakika
6. Amani ya mwoyo na akili
7. Bima ya afya au wakika wakupata matibabu.nk
Hapo hata baiskeli usafiri tayari au kujilipia daladala kwa uhakika
 
Back
Top Bottom