cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Ndio Kuna ka ukweli flani hasa kwa wahadhiri wasiojielewaUtafiti INAONYESHA kinaongoza kwa rushwa ya ngono.wanaweka mazingira magumu kufanikisha axma zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Kuna ka ukweli flani hasa kwa wahadhiri wasiojielewaUtafiti INAONYESHA kinaongoza kwa rushwa ya ngono.wanaweka mazingira magumu kufanikisha axma zao.
mimi nafahamu watu zaidi ya wawili mmoja HR mwingine IT amesoma udsm master kwa gpa ya upper second bachelor ya SautSio mindset ya dharau ni ukweli mtupu wallah, mbona hata shule za kata zipo, ni sawa ulinganishe MIT, Oxford na vyuo vya uchochoroni huko, duniani vitu havijawahi kuwa sawa kamwe.
Ndio hyo unasoma tu walla haina shidamimi nafahamu watu zaidi ya wawili mmoja HR mwingine IT amesoma udsm master kwa gpa ya upper second bachelor ya Saut
We demu acha ushamba wa elimu.... wewe hapo udsm umesoma kozi gani?Nadhani nature ya udsm tu mwenye gpa ya tatu vyuo vingine ana first class, shule ya pale si lelemama na wanafata vigezo na zamani waliopata pata pale wengi ni waliofaulu vizuri Sasa mtu umesoma chuo huko ulipata three karibu na four eti first class, hawakuchukui kirahisi
Unachomaanisha UDSM ndo MIT? [emoji23][emoji23][emoji23]Nasema unaweza kulinganisha MIT, Oxford, Harvard na vyuo vya uchochoroni, ujue tu duniani vitu haviko sawa na Wala sio ulimbukeni, ndio maana wengine warefu, weusi, weupe huwezi sema eti ukitofautisha ni mawazo mgando ingawa wote ni watu.
Hauwezi kutaja sababu itakuexpose umburura wako na hauwezi kuwa engineer wala doctor[emoji23][emoji23][emoji23]Siri yangu
Mkuu wanafunzi hao wengi ni wale average students kama kwao hakuna kitu rahisi sasa wanatafuta namna ya kujustify performance yao.Hivi mtu anaposema elimu ya udsm ngumu anamaanisha nini? Ni masomo konki wanafundishwa au walimu wao wanaamua 2 kuwafelisha makusudi 2? Maana ukisema wanafundishwa masomo konki mbona kwenye usahili wapo kawaida sana tena sana.
Ukisema ugumu wa masomo mbona kuna wanafunzi wanafaulu sana, mfano ni yule binti aliyekua anasoma actuarial science alifumua GPA ya 4.8 why yeye? Tatzo wanafunzi wa bongo imani zao zinawaponza, mfano wale wanafunzi wanaosema hesabu ni ngumu wakati sio kweli.