Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaaaa....mzee nimetuma airtelmoney 200,000/= plus na ya kutolea 5,100/= jumla 205,100/=.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ipo hivi, jana niliingizwa mjini 50%Wale ambao tulituma pesa ya nauli na yakutolea, mwisho wa siku tukazimiwa simu na kupigwa block..tukutane hapa kwa nia ya kupeana moyo.
Mwamba umetishaaaaa.Ipo hivi, jana niliingizwa mjini 50%
Huyi Singo mama, nilikutana naye Jumatano ,tukaongea wee, mwisho Jana ikawa siku yakulala.
Akaniambia usiku ataenda kwa sherehe then akitoka aje Lodge nilipo.
Akaawa kaniomba Hela ya Saloon,nikamtumia elfu arobain na tano.
Mida ya saa kimi nambili akaniambia niende lodge anakuja
Kweli akajaa, nikamtumia Bia akanywa kanywa, ila kwakua alikua naharaka ya Sherehe, sikutaka nimle
Nikamruhusu aende kwa sherehe, mie nabaki room
KUMBR NIMEFANYA KOSA
demu akasepa, subiria mtu wapiii subiriiii saa tano alosema anakuja, wapii.saa sita wapi..saa saba wapi, nane tisaaaa kumi wapiii...
Nikajua huyu kajifanha mtoto wa mjini
NIKAMWAMWANDIKIA MESEJI NDEFU SANA YENYE VITISHO
Tena nilimwambia ivi,sikiliza wee mtoto mjini namm mtoto wa mjini,siuliacha Kitambaa chako cha jasho??
Sasa naenda kukufanyia ubaya,kwakua umenifanyia ubaya, wacha ubaya uwe ubaya.
Nakuambia ivi, utanitafuta mwenyewe na utagharamika sana.
Imefika saa 11 unusu, ananitumia meseji..ohooo G nisamehee , G nakujaa, ohooo nilitoka kwa Harusi, rafiki zangu wakaniambia tukanywe pombeee,ohooo nnn, sikua na wanaume wala sijafanya baya.
Nikapiga kimyaa..kama nusu saa akafika...hiyo ni 12 alfajiri.
Akaja, sikutaka maneno, nkapima oil, nikajua kweli hajatombwaa...nikamwandaaaaaaaaaa
Nikapiga mzigo pigaa mpaka saa sita , nikasepa zangu nayeye akasepam
FUNZO...
Hizi dems , kuna wakati zinajifanya zina akili sanaa... Sasa siku hizi kauli mbiu ni "UNYAMA UNYAMA TU".
Hao wanaokula nauli, watishieni kuwapeleka kwa mganga ili wasifanikiwe nakwamba watakutafuta wenyewe.
[emoji117]Sitaki ujinga kabisa.
Wale ambao tulituma pesa ya nauli na yakutolea, mwisho wa siku tukazimiwa simu na kupigwa block..tukutane hapa kwa nia ya kupeana moyo.
Pole bro[emoji23]Daaaaaa....mzee nimetuma airtelmoney 200,000/= plus na ya kutolea 5,100/= jumla 205,100/=.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ni umbali gani alikuwa anatokea ? Mwezini? Asee watu mna mahera!!Daaaaaa....mzee nimetuma airtelmoney 200,000/= plus na ya kutolea 5,100/= jumla 205,100/=.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Daaaaaa....mzee nimetuma airtelmoney 200,000/= plus na ya kutolea 5,100/= jumla 205,100/=.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app