Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Kitu huwa nashindwa kuelewa kwamba "wazungu wanatuona sisi waafrika tunachojua ni kuzaliana tu"

Wakati china wapo 1.5B, USA wapo more than 400M sasa kivipi sisi tunazaliana hovyo kuliko wao wakat nchi zao wako watu weni wengi

Note: nimezungumzia inshu ya kuzaliana sio ratio ya kuzaliana to provision of social services
 
ulifeli wapi mkuu?
hao wanatoa kwa code sana
 
Burundi 2, Mzanzibar 1, Cameroon wale wenye nywele chotara lakini ngozi maji ya kunde 1, Mjerumani Mixer na Mtanzania, Muoman mixer 2, Kenyan Kikuyu 1, enjoyment ipo Oman hawakaushi maji so hadi unaridhika Mwenyewe....
Mkuu hao wacameroon nimechapa sana aisee,nilikuwa naenjoy sana tukiwa kwenye game wanaugulia na kunung'uniko kwa lugha ya kifaransa.
ooh merci mon bebe.
Mkuu vipi hao wa Oman wanapatikana kiurahisi?
 
Jana nilikuwanamchakata mnyarwanda show ilichezwa saa nne asbh karibu na shule ya Mugabe sinza Apo court lougde Ni mpalange mwanzo mwisho
Mkuu wanyarwanda pia wanatoa kwa mpalange?ulimpata wapi mkuu na mimi nawatafuta sana
 
Mkuu huko Madagascar napatamani sana niende.
Nipe ramani mkuu jinsi ya kufika na kukaa angalau wiki 2 kula bata na hao warembo
 
mazingira kwangu hayakuwa rafiki halafu yule alikuwa mteja wangu na alinipa adhab sbb nilimcheka!!!ila km angetaka nimle angenipa mwenyewe huwa haifai kufos anaweza kusema ulitaka kumbaka afu ikala kwako
busara ya hali ya juu sana mkuu
 
Umeongea issue kubwa sana ndugu angalia population ya China na Ulaya halafu linganisha na eneo la ardhi yao. Then njoo Africa angalia population yetu na eneo letu la ardhi yetu. Population yao per metre square ni kubwa kuliko kwetu yet people have been brainwashed kuamini kua Wa Africa tunazaliana tu.
 
Arab (Bitch)
Madagascar
Mrundi
Indonesian
Ngazija
Polish

Kwa less elastic n mnato ,Mtutsi yes ,Indonesian yes

All in all!.....Sex is overrated
Overated mnooooo.Sex ni upumbavu tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…