Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Yeess ukiwa na Hela unawala pia mkuu. Na wao ni binadamu wanapenda raha na mtelezo sana. Hata usain bolt nadhani anaye mzungu.
Ila ukiwa kapuku hakuna kitu.
Familia ya kihindi unaijua mpaka umuoe binti wao ama wale waarabu pia achana na hawa waarabu koko. Lazima uwe na kashi chafu sana mkuu.
Nimekuambia kuwa wanatuchukia kisa ya umasikini wetu so unapokuwa una Hela wanakupenda pia. Ila hao wanaotafunwa na wao ni màsikini mana atakuwa anamlipia apartment hapo so chini ya dola 8000 kwa mwezi.
Hapa bongo unaweza kula mtoto wa jk, mwinyi, mkapa?
 
We jamaa ni saddist fulani hivi, hata hapa bongo kutembea na mtoto wa raisi, waziri mkuu au anaetoka familia ya kitajiri sio rahisi kama unatokea familia ya kimasikini acha ku-ovarrate wazungu
Jamaa kazingua sana.
 
Huwez toa conclusion kwa kufanya research ya mtu mmoja, maana hata bongo mademu wote hawako sawa
 
Ulihadaika nao au walikuzidi ujanja?
Hela yangu yote niliokua nikiipata kwa kupindwa na wahindi waliila. Nilirudi bongo kuliko nilivyoondoka. Mana nilipoondoka nilikua na dola 100 mfukoni 🤣🤣🤣

Waithopia ilikua wanagongeka kirahisi, Ila Pisi Kali za kinigeria bila ya hela ya uhakika huli. na mimi bila ya kupata Black colour na Chura moyo hauridhiki kabisa.
 
Mwezi ulioisha tu nimeokota Dodo la kifaransa likanitunuku penzi moja maridhawa saaana. Mkasa mzima huo hapo chini;

Waz
Picha ya pili haionekani vyema,, Hebu iingize upya..
 
Aisee,
Kuwasiliana na demu kwa google translate mpaka kufikia kula mzigo si mchezo. Ila inawezekana
 
Australia,
Italy,
Brazil,
Timor Leste
Kenya,
South Africa
Mozambique,
 
Back
Top Bottom