Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Ila mademu wa bongo kwa mizinga hawajambo, mataifa mengine kwa kweli wanahitaji zaidi mapenzi na sio mkwanja. Usiende hata mbali nenda hata hapo Kenya, hawanaga wenge la kudai hela kama ....
 
Vipi watu na mahitaji yao yako sawa. Kuzaa sio Ishu kumbuka Bali ishu ni kumhudumia uliyemzaa.
Angalia madarasa watt wetu wanakaa chini. Lishe ikoje kuna MTT anaweza akapata kikombe cha maziwa daily yai moja kwa wiki
 
Me nilisha deti na mjamaika yani alikua romantic sijawah ona yani kama siku nikishikwa na mafua yeye alikua anayanyonya puani kwangu kwa mdomo wake hadi yanaisha dadek
Hahahaaa... Maninaaaa we jamaa! Nimecheka kinomaa..
 
Rwanda, Malawi, Wahabeshi, Indian Ugandans n Arabs tena visu ila mwisho wa siku mademu wa kibongo wako poa sana katika 6×6 na K matata
 
Rwanda, Malawi, Wahabeshi, Indian Ugandans n Arabs tena visu ila mwisho wa siku mademu wa kibongo wako poa sana katika 6×6 na K matata
Mwanzo umeanza vizuri mwishoni umeharibu
 
sawa niwe na kiasi gani cha pesa ili niweze kufika kuanzia nauli na kuenjoy maisha japo kwa wiki 2
At least euros 5000..uta enjoy sana mkuu,,

Pesa yao thamani yake ni sawa na pesa yetu ya bongo.

Mwanamke umtake hazidi euros 20.

Ukienda club za usiku ukiona mwanamke kavaa viatu virefu usiulize,,
Wewe jichukulie mrembo nenda kastarehe nae.

Wapo wahindi,
Weusi.
Chinese.
Lakini wote ni wa Malagasy.
Wanaongea kimalagasi na French.

Ukiwa hotel ukihitaji huduma unaletewa hadi mlangoni..

Nenda mji mmoja unaitwa Diego huko,,,utakula bata hadi basi..
 
Vipi watu na mahitaji yao yako sawa. Kuzaa sio Ishu kumbuka Bali ishu ni kumhudumia uliyemzaa.
Angalia madarasa watt wetu wanakaa chini. Lishe ikoje kuna MTT anaweza akapata kikombe cha maziwa daily yai moja kwa wiki
Sisi ni masikini wa mahitaji ila kwa population si issue. Na ni vile tuna corrupt leaders na kukosa mikakati thabiti ndio maana tunaonekana katika kuzaliana tu.
 
Na je nikihitaji mwanamke wa long term relationship wanapatikana?yaani nimpate mwanamke ambaye baadae nitamleta bongo awe mke wangu inawezekana?
 
Vipi watu na mahitaji yao yako sawa. Kuzaa sio Ishu kumbuka Bali ishu ni kumhudumia uliyemzaa.
Angalia madarasa watt wetu wanakaa chini. Lishe ikoje kuna MTT anaweza akapata kikombe cha maziwa daily yai moja kwa wiki

We nae angalia jukwaa husika hapa ni mahusiano mapenzi mambo ya madarasa nenda jukwaa la ujenzi
 
Kuna MTU ananipa connection kuwa Uko visit Rwanda utaenjoi sana tena sana wadada ni wakarimu na wastaraabu. Hawezi kumuibia mgeni LA sivyo atauwa. Ukichenji kama Milioni Ukaenda kwao utachoka na chenji utarudi nayo.
Kuna sehemu Kali za kutalii hapa hapa afrika sio lazima ulaya.
Napendekeza kararu,Ethiopia, somalia, Madagascar, Comoro na cape Verde . tuwe tuna organize tour mabaharia kujionea natural creation. Ila MIE nitaanza na Rwanda aliye na mpango tujipange tukatalii
 
Watanzania hapa tumepata aibu ya mwaka..

Adhabu ya kunyoa papuchi ya mama wa kizungu..hahaha,mimi ningemnyoa huku nachezea clit taratibu

Lemme say less
 
Sio wabaridi?

Zunguka dunia utakavoizungu hakuna wanawake kama wa Africa / Blacks
Na zunguka Africa wee Lakini hakuna wa Bongo bana. kidooogo Waganda / Ghana / South wanweza leta ushindani akini kwengine kote kunasoma namba japokua wana matatizo ya hapa na pale mawili matatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…