Hapa bongo unaweza kula mtoto wa jk, mwinyi, mkapa?Yeess ukiwa na Hela unawala pia mkuu. Na wao ni binadamu wanapenda raha na mtelezo sana. Hata usain bolt nadhani anaye mzungu.
Ila ukiwa kapuku hakuna kitu.
Familia ya kihindi unaijua mpaka umuoe binti wao ama wale waarabu pia achana na hawa waarabu koko. Lazima uwe na kashi chafu sana mkuu.
Nimekuambia kuwa wanatuchukia kisa ya umasikini wetu so unapokuwa una Hela wanakupenda pia. Ila hao wanaotafunwa na wao ni màsikini mana atakuwa anamlipia apartment hapo so chini ya dola 8000 kwa mwezi.
Jamaa kazingua sana.We jamaa ni saddist fulani hivi, hata hapa bongo kutembea na mtoto wa raisi, waziri mkuu au anaetoka familia ya kitajiri sio rahisi kama unatokea familia ya kimasikini acha ku-ovarrate wazungu
Wanawake wa kinigeria wilinifilisi mzee4+5+2+1+2+4+3+3+1+1+2+2=30
Kwa Waethiopia, Wanaijeria na Wafilipino tuweke watatu watatu=9
30+9=39
Wanawake 39.
Ulihadaika nao au walikuzidi ujanja?Wanawake wa kinigeria wilinifilisi mzee
Hela yangu yote niliokua nikiipata kwa kupindwa na wahindi waliila. Nilirudi bongo kuliko nilivyoondoka. Mana nilipoondoka nilikua na dola 100 mfukoni 🤣🤣🤣Ulihadaika nao au walikuzidi ujanja?
Picha ya pili haionekani vyema,, Hebu iingize upya..Mwezi ulioisha tu nimeokota Dodo la kifaransa likanitunuku penzi moja maridhawa saaana. Mkasa mzima huo hapo chini;
Waz
Ushapitia hiyoAisee,
Kuwasiliana na demu kwa google translate mpaka kufikia kula mzigo si mchezo. Ila inawezekana