Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Daah izo international level wengine bado hatujafika ila mtupe motivation aisee
 
Nishawai piga mtoto wa kikenya.

Ni singo mother lakini mtoto anauguria utamu paka chozi linamdondoka

Wivu ni wa kiwango Cha juu Sana

Ni wepesi kuamini. Ukimzingua analia km mtoto na utu uzima wake..

Sasa sijui ni wote ama ni huyu wangu pekee
 
Mkuu kma hutojali elezea kwanini yaliisha vibaya ,what went wrong?
 
Nishawai piga mtoto wa kikenya.

Ni singo mother lakini mtoto anauguria utamu paka chozi linamdondoka

Wivu ni wa kiwango Cha juu Sana

Ni wepesi kuamini. Ukimzingua analia km mtoto na utu uzima wake..

Sasa sijui ni wote ama ni huyu wangu pekee
Itakuwa wako pekee
 
Usipende kuongelea jambo usilolijua.
Naomba nikuambie nimekuwa na mahusiano na wasomali wawili na muethiopia mmoja mkuu kwa wakati tofauti wakati nipo Mombasa.Kwa hiyo najua nachokisema.Waasomali ni wachafu sana sana sana hata kwenye nyumba wanazoishi.Wamekeketwa hilo usibishe,tena wamekeketwa vibaya sana.Au hujui kiantena kinapokaa mkuu?lakini ninawajua wasomali vizuri.Mmoja nilimuacha kwa sababu alikuwa ananiambia kama nahitaji silaha anaweza kunipa,huo ni mwaka 96.Nilimuogopa sana sana sana na ndio kwanza alikuwa na miezi miwili amekuja Mombasa hakuwa anajua kiswahili ni broken english tu.Nilimpeleka gheto uchochoroni saa 6 usiku na nikamtoa alfajiri saaana,ila kuna siku akanitembeleea gheto bila taarifa wala bila maelekezo nikajua ataniua nikahama.
 
Burundi 2, Mzanzibar 1, Cameroon wale wenye nywele chotara lakini ngozi maji ya kunde 1, Mjerumani Mixer na Mtanzania, Muoman mixer 2, Kenyan Kikuyu 1, enjoyment ipo Oman hawakaushi maji so hadi unaridhika Mwenyewe....
 
Madagascar unaweza usirudi kwenu, Russia, zambia, lethoto, Mozambique.
Hapa Russia mkuu kuna demo mmoja nilimgonga humu nimemfuata ma miles ya kufa MTU na metro yao. Demu kweli niligonga nikashangaa anaruka anasema pachimo ze nye zakonchiri? Yaani ni kwa nini haumalizi.
Ni kweli wanajua romance aisee kuna vitu nilifanyiwa vitu huko huku bongo sijawahi fanyiwa mpka nakaribia kuuacha ujana Wangu.
Demu kweli wanafanya na wanajituma bika kuambiwa cha kufanya. Uwatakuanzia masaje afu ndo mdomo unafanya kazi mkuu humu na zile nywele zao zikikugusa gusa ni msisimko Wa hatari sana..
Ila naona wabongo hapa wamejiongeza kuanzisha Uzi kama umeshawahi kula tunda kimasihara.
Yaani afrika stories za ngono tuko vizuri na ndicho tulichobarikiwa BASI. Yaani maumbile makubwa na tunaenda round nyingi pia tunastahimili gemu hilo wazungu wote wanalijua.
Wana msemo wao once you go black you never come back.
Ila naumia vijana kuongelea ngono badala ya kuongelea innovations. Ukileta idea ya kugundua hata chanjo ya korona kimya hakuna MTU kuchangia.

Yaani waafrika tunatafuta heshima kwenye k jamani. Wenzetu mpaka hawana hisia anakuketea demu wake umkaze mana hayuko vizuri.
Yaani vyuo wanavyosoma blacks madada Wa kizungu wanajipitisha pitisha sana.
Pia nashangaa Bado tunajikita kutafuta nguvu za kiume hivi ni za nini jamani MIE huwa najiuliza nakosa jibu.
Badala tuzipunguze tusiwaze ngono ili akili zitulie kwenye innovations kwa our incoming generations.
Ila jamaa akatohoa idea tokea kula tunda kimasihara mpaka kula tunda LA ugenini.
Over all no special raga ya mapenzi ni hisia ulizo Nazo na MTU kama hauna hisia sipo mapenzi ni jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…