Kudanganya au kusema uongo ni kitu cha kawaida sana kwa jamii zetu. Wengine imekua ndio maisha yao.
Lakini kuna uongo mwingine ukiusikia lazima uzimie[emoji1787]
Kuna watu utadhani wanavipaji vya uongo.
Mimi pia niliwahi danganya wakati bado mtoto.. nilibugia maziwa ya unga..
Bi mkubwa ana niuliza nani kabugia maziwa .. nikamwambia kwanza ndio narudi muda huu.. kumbe mdomo sijaufuta vizuri vumbi la maziwa limebakia mdomoni.
Sitaisahau siku ile , nilikuja zinduka nipo zahanati mapaja utadhani yamechomwa moto .[emoji23]
Je umewahi danganya mke, mchumba, bi mkubwa etc na nini yalikua matokeo yake.?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nadhani ningemwambia ukweli angeniacha.Sasa huyo 'bi mkubwa' alikuumiza kwa ajili ya nini wakati maziwa yanafaida mwilini? Au yalikuwa ni ya mdogo wako mdogo ambaye bado alikuwa ananyonya?
Kuna wazazi wengine wangenunua kopo kubwa na kukuambia ulambe mpaka umalize.
Hupo sahihi, na angekuambia siku nyingine usirudie au uombe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nadhani ningemwambia ukweli angeniacha.
Mwenzio huyu hapaKudanganya au kusema uongo ni kitu cha kawaida sana kwa jamii zetu. Wengine imekua ndio maisha yao.
Lakini kuna uongo mwingine ukiusikia lazima uzimie[emoji1787]
Kuna watu utadhani wana vipaji vya uongo.
Mimi pia niliwahi danganya wakati bado mtoto. Nilibugia maziwa ya unga..
Bi mkubwa ananiuliza nani kabugia maziwa .. nikamwambia kwanza ndio narudi muda huu. Kumbe mdomo sijaufuta vizuri vumbi la maziwa limebakia mdomoni.
Sitaisahau siku ile , nilikuja zinduka nipo zahanati mapaja utadhani yamechomwa moto .[emoji23]
Je, umewahi danganya mke, mchumba, bi mkubwa etc na nini yalikuwa matokeo yake.?
Dah wewe ni mwongo ulyetukuka na hapa unadanganyaNilifukuzwa jela/gerezani kwa uongo uliopitiliza na utovu wa nidham
Asilimia kubwa ya waliopitia JKT kwa mujibu wa sheria wakati mafunzo yalikuwa mwaka mmoja kabla ya kuwa miezi sita na kusitishwa kwa muda wamedanganya sana tu?