Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kudanganya au kusema uongo ni kitu cha kawaida sana kwa jamii zetu. Wengine imekua ndio maisha yao.
Lakini kuna uongo mwingine ukiusikia lazima uzimie[emoji1787]
Kuna watu utadhani wana vipaji vya uongo.
Mimi pia niliwahi danganya wakati bado mtoto. Nilibugia maziwa ya unga..
Bi mkubwa ananiuliza nani kabugia maziwa .. nikamwambia kwanza ndio narudi muda huu. Kumbe mdomo sijaufuta vizuri vumbi la maziwa limebakia mdomoni.
Sitaisahau siku ile , nilikuja zinduka nipo zahanati mapaja utadhani yamechomwa moto .[emoji23]
Je, umewahi danganya mke, mchumba, bi mkubwa etc na nini yalikuwa matokeo yake.?
Lakini kuna uongo mwingine ukiusikia lazima uzimie[emoji1787]
Kuna watu utadhani wana vipaji vya uongo.
Mimi pia niliwahi danganya wakati bado mtoto. Nilibugia maziwa ya unga..
Bi mkubwa ananiuliza nani kabugia maziwa .. nikamwambia kwanza ndio narudi muda huu. Kumbe mdomo sijaufuta vizuri vumbi la maziwa limebakia mdomoni.
Sitaisahau siku ile , nilikuja zinduka nipo zahanati mapaja utadhani yamechomwa moto .[emoji23]
Je, umewahi danganya mke, mchumba, bi mkubwa etc na nini yalikuwa matokeo yake.?