UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
Achana na mastori na ma elimu ya JF ambayo kwangu haina kipimo japo siku hizi dah JF ya sasa sio ile ya kwetu. Hafu mods wa sasa ama invisible wa sasa sio yule wa kipindi kile. Halooooo wana mapoz sio za nchi hii. Hata pm hawajibu damn!
Enewei kwa kuanza tu. Niliwahi piga 2,100,000 ela ya madafu. Kuna bi mdash mmoja kanipa tenda kwenye eneo langu la profeshen. Sikumuangusha. Nikapiga huo mpunga. Iliniokoa sana maana nilikuwa astoro mbaya. Dah hapo ndo huwa JF naionaga ina maana sana kwangu.
Lkn kama haitoshi. Nilipiga demu wa JF (hahahaha sio jambo jema kujivunia. Enewei hapa ni chit chat don't take it serious ila nilipiga).
Hakuwa na mkia kihiiiivyo ila nyamanyama nn sio haba ambapo ndo huwa pumzi yangu inayumba. So alinitunuku tu naweza kusema alinizidi miaka ila haikuwa ishu nilitetea ukoo ipasavyo. Tulipoteana mikoa mbalimbali.
Karibuni tupige stori zetu.
Enewei kwa kuanza tu. Niliwahi piga 2,100,000 ela ya madafu. Kuna bi mdash mmoja kanipa tenda kwenye eneo langu la profeshen. Sikumuangusha. Nikapiga huo mpunga. Iliniokoa sana maana nilikuwa astoro mbaya. Dah hapo ndo huwa JF naionaga ina maana sana kwangu.
Lkn kama haitoshi. Nilipiga demu wa JF (hahahaha sio jambo jema kujivunia. Enewei hapa ni chit chat don't take it serious ila nilipiga).
Hakuwa na mkia kihiiiivyo ila nyamanyama nn sio haba ambapo ndo huwa pumzi yangu inayumba. So alinitunuku tu naweza kusema alinizidi miaka ila haikuwa ishu nilitetea ukoo ipasavyo. Tulipoteana mikoa mbalimbali.
Karibuni tupige stori zetu.