Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Hujajibu swaliSasa je unanionaga usiku maeneo haya?
Ungejua huyo ni sawa na babu yako udingeandika vileAcha m akuz
Hujapata mchumba humu?!Jf imenifundisha vingi sanaaa Sana'a sio siri
Michango ya watu humu wenye upeo mkubwa wa kuchangia mada mbali mbali imenipa kiasi Fulani kuelewa baadhi ya mambo
Pasipo kusahau vichekesho maana bwana mtu anaweza kukujibu badala ya kununa inakubidi ucheke tu
Ww ushapata?Hujapata mchumba humu?!
Mbona unakwepa swaliWw ushapata?