Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Mm niliingia humu 2015 lakin nimehamia kabisa baada ya kutimuliwa fb, nimegundua huku ni zaidi ya hata Twitter, sijaona seem ya kutulia kama huku, shobo hakuna, ujinga hakuna, huku watu wapo serius kwel na mambo, co umbeya au kutaka likes kama insta.
Hongereni JF.
Hongereni JF.