Tuliowahi kufall in love na celebrities tukutane hapa

Eeebhana
This black beauty is killing me
 

Attachments

  • IMG-20171021-WA0017.jpg
    25.2 KB · Views: 63
  • IMG-20171021-WA0017.jpg
    25.2 KB · Views: 44
Masogange nilishafanyaga jitihada kadhaa za kupata namba nikafanikiwa bado kumuomba.......na mbele kuna manzi anaitwa Teyana Taylor!!!
 
Aliyeimba chorus ya wimbo wa wiz khalifa wa SEE YOU AGAIN Kila siku namuota ananijia anasema nakupenda ww jaman sili silali nakonda mwenzenu msaada mweny namb zake za simu nipo tyr ata Sasa kukwea pipa
 
Aliyeimba chorus ya wimbo wa wiz khalifa wa SEE YOU AGAIN Kila siku namuota ananijia anasema nakupenda ww jaman sili silali nakonda mwenzenu msaada mweny namb zake za simu nipo tyr ata Sasa kukwea pipa
Hahahahahahaaa pole
 
Aliyeimba chorus ya wimbo wa wiz khalifa wa SEE YOU AGAIN Kila siku namuota ananijia anasema nakupenda ww jaman sili silali nakonda mwenzenu msaada mweny namb zake za simu nipo tyr ata Sasa kukwea pipa
Anaitwa Charlie Puth
Kazaliwa Dec 2 1991

 
Kuna mwanamama anaitwa Tiwa savage! Dah! Ngoja nitafute pesa! Ipo siku ntashuka pale Lagos nitimize azma yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…