Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji613][emoji613][emoji613][emoji613][emoji613][emoji613][emoji613][emoji613][emoji613][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi bhna nimemaliza tu ile chuo narud zangu nyumban iringa mshua kaniconektia kazi ya sheli apo sikua hata na wazo la kufanya kazi sheli kilichotokea bosi akasema bwana huyu leo leo aanze kazi section ya USIKU yaan kuanzia saa 3 usiku hadi asubuhi mi nikasema fresh sasa nafika pale nikapewa dada mmoja nifanye nae kazi yule dada hakuniruhusu niingie usiku akasema nifanye mchana nae bosi alipokuja akamwita yule dada akamfokea kwann unampa kazi mchana huyo ashinde usiku yule dada akasema huyu hajajua hata kushika pampu vzr kwaio anahitaji pole pole nikaanza kuwaza kichwan hapa tayar

Sasa imepita kama wiki hivi nafundishwa na walimu wawili tofaut yule dada na braza mmoja nikifanya kaz na dada sipati loss nikifanya kaz na jombaa utakuta loss elfu 5 mara 3 duuh nikawaza why? Lakin kila nikiwa na dada sipat loss nikajua hapa nachezewa mchezo siku nikiwa na bro siruhusu ashike hela hata 100 mwisho sipat loss akaniuliza vip hapa umekuja kuchukua nafasi ya nan? Nikasema apa nimeletwa tu na mshua aliniombea sa sijui bosi alikua hapend nifanye kazi pale siku napigiwa tu simu ni stop kwanza kazi mpk watakapofanya uchunguzi hua nakopesha mafuta sijui vitu gan basi kazi ikaishia pale
 
Nadhani boss wa ofisi yetu alikua amezidi. Yani pale ilifika hatua hata mtu ukifiwa ni bora ulie na wa kwenu lakini sio wafanyakazi waje au boss maana wakifika tu wataanza kuona fan ni ya kwao, taa ni za kwao, nyumba kubwa umetoa wapi kwa mshahara wa laki nane๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ pengine hata unapanga lkn unawezaje kupanga nyumba nzuri? Yan furaha kwao ni wewe uwe unaandika vibarua vya kuomba mkopo kwao ambao nao hawatakupa mpk uspecify shida. Yan usiseme huu mkopo ni wa kwenda kutatua matatizo ya kifamilia ila useme yan unga sina ndani au mafuta ndio uupate kesho stafff wote wajue hukua na unga na mafuta
 
kweli kabisa usemayo hujakosea
 
l
Tupe kisa chako ili nasi kitupe funzo katika maisha yetu
 
Mimi ni jeuri najijua ila sijawahi kufukuzwa kazi.Huwa naondoka kama naenda msalani ndiyo hawanioni tena.Halafu yalivyo majinga huwa yanalia eti yamenikumbuka.๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Ukianza fanya kazi kwenye makampuni ndo uje uchangie. Hizo za kufanya majumbani mwa watu ndo watoto wakati mwingine wanakulilia...na pia why wewe unakuwa unatumia choo cha nje?
 
Ukianza fanya kazi kwenye makampuni ndo uje uchangie. Hizo za kufanya majumbani mwa watu ndo watoto wakati mwingine wanakulilia...na pia why wewe unakuwa unatumia choo cha nje?
Kwani uliumia sana kwa nilichokiandika awali?Yote kwa yote,yalikuwa zamani hayo.Weye endelea na kufanya kazi kwa Wahindi.Anee chee!Gutroo gasepetoo!
 
Kwani uliumia sana kwa nilichokiandika awali?Yote kwa yote,yalikuwa zamani hayo.Weye endelea na kufanya kazi kwa Wahindi.Anee chee!Gutroo gasepetoo!
Umefanya kazi za ndani kwa wahindi mpaka umejua kihindi.....๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Unajisaidia choo cha nje...
 
Hii kiboko hiyo sio ofic ni kijiwe cha wachawi ๐Ÿคฃ
 
U
Ultravet ni ya kilimo?
 
kaka na mimi nipo private sector nimejishikiza kwa mda , ila niliwahi piga field atachment apo apo wakati nkiwa bado nipo chuo na bosi akawa ameniona akaniita na kunipa ajira sasa, wakati nipo field kuna demu nilimtongoza na nkabatika kumpiga mashine, lakini cha ajabu huyo dada amekua sumu kwangu na kunichongea kwa bosi. alafu zaidi mimi napokea pesa nyingi zaidi ake lakini wakati naajiliwa apa uyo demu alinambia kua ntalipwa elfu hamsini lakini cha kushangaza namzidi mshahara mara mbili zaidi
kwahiyo watu tunao waamini ndio wanakua sumu sana kwetu jamani.
 
Huu Uzi wa siku nyingi lkn
Wee Ni Kama mm tu nilifanyiwa hvyo hvyo
Hadi leo sinaga mzuka wa kupita wakukutana na wafanyakazi wenzangu
 
Dah tutafika tumechoka sana.

NGOJA TUPATE SHUHUDA ZA WATU WALIOWAHI KUFANYA KAZI KWA WAHINDI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ