Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Kwahiyo tusimwamini Jiwe ambae alikua na taarifa nyingi za Mwere, tukuamini wewe unaekisia magonjwa kwa watu.
Kwanza kwanini umwamini binadamu mwenzako na hisia badala ya kumwamini mtaalamu wa hayo Mambo ka ni ya afya na mwele alifanya utafiti kabisa.
 
Kwanza kwanini umwamini binadamu mwenzako na hisia badala ya kumwamini mtaalamu wa hayo Mambo ka ni ya afya na mwele alifanya utafiti kabisa.
Hao wagonjwa wa ZIKA aliowafanyia utafiti umewahi kuwaona?
 
Blah blah blah

Your numbers simply don't add up....

Lies tupu...wala sio nguo..kuna tabia zingine hawazipendi ndio maana wapo mean na not friendly to you...

Check yo'self up before you wreck yo'self
Dah Yani mfano wa Jambo ndo ume pick ka point ya kujilinda, na unakuja kushambulia watu na experience zao, wewe sio matured something is wrong in ur head.
 
Hao wagonjwa wa ZIKA aliowafanyia utafiti umewahi kuwaona?
Uliambiwa vilikua vimelea tahadhari zichukuliwe Sasa washamba mkakimbilia kulaumu mabeberu, na utafiti hupigwa kwa utafiti sio hisia.
 
Uliambiwa vilikua vimelea tahadhari zichukuliwe Sasa washamba mkakimbilia kulaumu mabeberu, na utafiti hupigwa kwa utafiti sio hisia.
Vile vimelea viliishia wapi, au aliondoka navyo baada ya kuondolewa?

So hisia zako zimekwambia tena mimi mshamba japo hunijui?
 
Una matatizo wewe mengi Sana, report huwa siandiki na usinipangie Cha kuandika humu JF. Na naandika kusudi maana ni Mimi wewe baki na msimamo wako na nitazidi kuruka ruka nitakavyo na kuandika ninachojiskia usinipangie kabisa, hizo dictions waziona wewe pyeeeee
 
Ule ulikuwa utafiti na nyie mngepinga huo utafiti sio kukomoana tu Tena baada ya ummy kumgeuka mwenzake Tena wakati akitangaza walikuwa wote.
Kwahiyo Jiwe alifanya maamuzi bila kushauliwa na wataalamu wa afya?

Huhisi Ummy aligundua mapema kwamba Mwere amekua compromised, so akamshauli Jiwe vinginevyo!

Au unaamini Mwere alifanya utafiti peke yake?
 
Kwahiyo Jiwe alifanya maamuzi bila kushauliwa na wataalamu wa afya?

Huhisi Ummy aligundua mapema kwamba Mwere amekua compromised, so akamshauli Jiwe vinginevyo!

Au unaamini Mwere alifanya utafiti peke yake?
Wewe awamu iliyopita utaalamu haukuwa kipaumbele hata huyo ummy alikuwa ana linda cheo chake, Mambo mengi tu hata katiba haikuheshimiwa na mabeberu wakasingiziwa bure.
 
Sielewi unaandika Nini wallah, nimekwambia report siandiki hata kuandika email sijui hata kuweka attachments sifahamu, kusalimia pia sifahamu na sijawahi kukutana na key stakeholders, haya Sasa moyo wako umekuwa satisfied na wewe mjua kila jambo humu jf.!?
 
Kwenye maisha yangu nilishajiambia sitakuja kuajiriwa lakini kuna mwaka ilikuwa kila nitakaloshika linagoma. Basi nikaona isiwe kesi ngoja niombe ajira nijishikize kwa muda. Nikapata mshahara laki 3 kwa mwezi. Nakumbuka ule mwezi nilipiga kazi vizuri bila longolongo. Zile tarehe za mshahara zimefika nikaona watu wote wamelipwa ila mimi hakuna kitu. Nikamfuata mhasibu kuuliza vipi? Akajibu jina lako halipo kwenye orodha ya walipwaji. Yule boss alisema nisilipwe. Nilisikitika sana nikakabidhi vitu vyote vya ofisi kwa wahusika nikaacha kazi bila kudai chochote. Baada ya hapo sikuwahi kuomba ajira wala kuajiriwa tena.
 

This is so sad ! Pole mkuu japo yameshapita
 
Unaona sasa,hutachelewa kuniita sexist

Utalalamika napingana na wewe makusudi sababu "you are a woman".....Hahahaaaa

Nowdays msha-weponize ubishani,haupo tena!

Identity politics!

Haya Cariha
Mhhhhhhhh
 
Wewe awamu iliyopita utaalamu haukuwa kipaumbele hata huyo ummy alikuwa ana linda cheo chake, Mambo mengi tu hata katiba haikuheshimiwa na mabeberu wakasingiziwa bure.
We binti una sonona, hivi unaweza kuendesha nchi bila wataalamu

Au utaalamu kwako ilikua ni kukubali kwamba Zika ipo?
 
Unakuta mtu anafurahia mwenzake anapopata mateso.. Mimi nilishawahi kufukuzwa ili baada ya miezi kadhaa nilitudi.
Watu hao wapo kabisa tukiandika humu waja wasema twaandika uongo. Mtaani tu mtu akipata majanga watu wanafurahia
 
[emoji28] [emoji28] Ukijiamini bosi hakusumbui
 
Umenifungua akili hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…