Tuliowahi kujamba ushuzi mkali wa kunuka kwenye halaiki ya wa tukutane hapa

Nakumbuka nilikuwa mdogo nimelala sebuleni umeme umekatika sasa pale nilipokuwa nimelala tumbo lilinianza kunisakama kidogo nikashindwa kuvumilia nilikiachiwa hadi watu liokuwa chumbani jikoni ofisini wakaja maana ilikuwa kama bomu wakauliza mama ni transfoma nini wakajibiwa hapana basi nini huyu mdogo wenu.
Wakatafakari wakachukua hatua wenyewe.
Sio sauti kubwa tu ni kwamba watu walishtuka na kukimbia eti wakizani wameingiliwa .
Isitoshe harufu ilikuwa ni hatari eti sio mchezo.
Kwa waliokuwa karibu
 
Hahahaaaaa.... Mimi huwa natoka nje kama n ndani lakini kuna siku moja nilichelewa mnyambo ulitoka kabla sijatoka ndani daah ilikuwa nomaa kidume nikajikaza tu sura ngumu wadau wakancheki nikakaza uso wakapotezea ila najua watu walitukana sana pale
 
Nilipoona heading nilikasirika sana! Kwamba unatuletea mambo gani haya?

Hatahivyo,baada ya kuanza kusoma nimejikuta nacheka kukaribia kulia!
Kusema ukweli dogo unajua kusimulia stori kwa njia ya kusisimua mno. Unakipaji ambacho unatakiwa kukikuza na kukitumia!

Stori ni ya ovyo lakini kwa jinsi ulivyoisimulia,it is very interesting!
Umeniondolea stress kabisa! Hata hivyo,acha ulaji wa namna hiyo!
 
mkuu sahivi mimi siyo dogo tena,haya mambo yalitokea zamani sana
 
hahahahahahahahaaa mkuu uliharibu utulivu kanisani,vibaya sana
 
Hahahah ungekunya mbwa ww!!!
Unakula kama fungo man..
 
Hahahahaahah kmamae
 
Duh kipindi enzi za boarding enzi za marage na dengu nilisumbua sana hadhira. Watu walihisi nina matatizo ila kumbe ni ma vyakula tu ndio yalikuwa ya kipuuzi na nilikuwa simuwazi mtu awe ticha au denti.

Kikinibana tu nawasha jenereta!!!
 
Hii siku naikumbuka mkuu kumbe ni wewe haha
 
Mhhh mhhh
 
Kuna kikundi kinairwa jamba entertainment unafaa kuwa kiongozi wao. Sababu ili kujiunga na kikundi hiki ni lazima utoe sumple ya ushuzi. Na hiyo uliyoandika hapo juu inafit vigezo na masharti.

Wacheki hapa.

Www.jambaintertaiment. ushuzimkali. Unanuka/silence.tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…