Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
- Thread starter
-
- #161
mkuu,pascal huyu huyu au unataka tu umaarufuWakati tunasoma nikiwa na Pascal Mayalla darasa moja, siku moja tukiwa kwenye hice Pascal aliachia ushuzi mmoja matata hadi Dereva akasimamisha gari kwa muda na kuwaruhusu abiria wapunge hewa kwa dakika tano.
Mkuu kwa hii menyu yako.. hela ya viatu unashiba kweli......ila kwa sasa nauza viatu kitanzini iringa baada ya magu kukaza vyuma vyake..
nashiba sana mkuundugu,asubuhi naamka kabla ya mswaki nakula papai moja na nanasi zima,napenda sana maziwa mgando...nagonga nusu lita kisa natulia saa mbilimbili ndio nakunywa chai ya maziwa na magimbi na viazi vitamu,nakaa kidogo napiga tikiti na uji wa ulezi ndio naingia kazini.....saa saba hivi nanyorosha ugali na mlenda wa maharagwe,napiga tena maziwa mgando nashushia na koka mbili take away bariiiiiiiidiiiiiii,muda wote nikiwa loose huwa natafuna karanga zangu na korosho sina habari na mtu....Mkuu kwa hii menyu yako.. hela ya viatu unashiba kweli......
Poa mkuu kwenye Tanzania ya viwanda wewe mwenyewe naona ni kiwanda toshanashiba sana mkuundugu,asubuhi naamka kabla ya mswaki nakula papai moja na nanasi zima,napenda sana maziwa mgando...nagonga nusu lita kisa natulia saa mbilimbili ndio nakunywa chai ya maziwa na magimbi na viazi vitamu,nakaa kidogo napiga tikiti na uji wa ulezi ndio naingia kazini.....saa saba hivi nanyorosha ugali na mlenda wa maharagwe,napiga tena maziwa mgando nashushia na koka mbili take away bariiiiiiiidiiiiiii,muda wote nikiwa loose huwa natafuna karanga zangu na korosho sina habari na mtu....
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Kuna siku me ilinitokea ingawa nilikuwa alone kwenye gari natoka job kuelekea geti la ofisini ile niko peke yangu nikaona tumbo kama limejaa sana gesi basi nikajiuliza shida ya nn na mie niko peke yangu kwenye gari. Basi niliachia ushuzi mmoja una harufu kali kama kiwanda cha ngozi.
Basi wakati unasambaa vizuri ndani ya gari nikaona staff wenzangu wanavizia lift getini na piga ua lazima usimame pale na ukicheki jamaa wameshaanza kukaa sawa kuchukua lifti. Unaambiwa nilifika pale nikavunga naongea na simu kama siwaoni vile mpk wao wakashangaa maana si kawaida kuacha mtu.
Mlinzi getini alikuwa ananionyesha ishara kuwa jamaa wanaomba lift mzee nikala bati mpk akafungua nikapita zangu. Ile scud ilikuwa na harufu mbaya hata mie niliyoitoa ilinivuruga
Unamaanisha nini? Kwamba Pascal hajawahi kuachia ushuzi matata? Yeye ni nani mkuu hadi asiachie kitu ushuzi?mkuu,pascal huyu huyu au unataka tu umaarufu
kuna moja nilinyambaga hadi mtoto akaota upele...mwingine macho yalianza kuwasha akawa analia tuMimi nilikua na mtoto....alisem nini ichi kinanuka kabla sijamjibu akatapika sana had nilimuonea huruma
HahahaKujamba ni ile ya kawaida ila kunyamba anakaribia kunya kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] dah,nimecheka sana mkuu,you're so funny guyWadau,leo nimeona nielezee kisa hiki kilichonikuta kwenye basi nikitoka mbeya/tukutu kwenda dsm.
picha linaanzia hapo natoka zangu nyumbani,ilikuwa safari yangu ya kwanza kuja dam kujiunga na chuo cha duce baada ya kumaliza masomo yangu ya advance.
kwakua sikua na wa kusafiri nae basi niliamua kusafiri mwenyewe baada ya kupewa maelezo ya kutosha na braza wa kijijini kwetu ambaye yeye alikuwa mwaka wa pili udsm.
basi bwana kama unavojua sisi wanyaki,siku moja kabla ya safari ulikuwa ni mkesha wa kuniaga,nyumbani kulifanyika mkusanyiko kidogo wa ndugu hasa wajomba na mshangazi,kila mmoja akaleta cha kuleta nyama za kuchoma,viazi vitamu na mviringo,maziwa freshi,maziwa mgando,unga wa ugali,mchele,maharagwe na kunde,pilipili n.k vitu vilipikwa mkesha ukakaliwa ukaisha.
usiku ule nilikula sana,nilivimbiwa kwa kifupi,sasa kimbembe kikawa asubuhi,ile saa kumi na mbili naamka mara tumbo likaanza kuvuruga kama utani,nikajua hapa tayari safari yangu imeingia mdudu,sababu najuaga nini kitatokea...basi bwana nikaenda chooni nakuta hola ila tumbo linanguruma as if kuna mtu anakoroga vitu kwa ndani.
muda wa kupanda gari letu kyela express ukafika,nikapanda kiujasiri japo bado tumbo linavuruga,nikiwa na akiba yangu ya viporo vya vyakula vya jana...nikafika uyole nikajiongezea akiba kidogo ya aepo na soda.
kwenda weeeee kufika mbele kuna mbaba huwa anauza kababu na kashata kwenye magari ya mbeya dsm ni maarufu sana,nikagonga kashata zangu na bagia,nikashushia na maziwa mgando,nikanywa soda ya spaleta baridi na epo zangu tatu,kufika makambako nikanywa maziwa yalikuwa kwenye kopo,nikashushia na maji...nikawa taratiiiibu nafikicha karanga narushia mdomoni kwa mbwembwe flani za kisela....
sijui nini kilitokea lakini nikahisi tukiwa maeneo ya misitu ya sao hill...tumbo ghafla lilijaaaa kama limejazwa upepo hivi,nikajua tu hapa leo siyo salama,mimi nikajinyanyua kidooogo ile kisailensa,nikapanua mguu mmoja katika style ambayo hakuna aliegundua..then nikaanza kuiachia ile hewa sasa ili itoke huku nikisikia uafadhali wa hali ya juu tumboni...
basi bwana,tukio lilidumu kwa muda kama wa dakika mbili hivi ile hewa inatoka tu,inatoka tu...baada ya sekunde kama kumi hivi nikaanza kuhisi utulivu wa watu kunizunguka unapungua,kuna mtoto mchanga alikuwa pembeni alipiga chafya moja kali sana,kali sana,basi wakaanza kufungua madirisha na kupeperusha magazeti hivi na vitabu,sasa ikawa ni basi zima wakahisi labda kuna kitu kimeoza.
muda ote huo mnyambala nawachora tu wanavohangaika na vitu vidogo tu hivi....
nasikia ule ushuzi ulikuwa na half life ya dakika 5 (kwa waliosoma radioactivity)
sasa wale waliowahi kufanya tendo hili la kishujaa kwenye halaiki waweke ushuhuda wao hapa ilikuwaje.....
Very tallentedNilipoona heading nilikasirika sana! Kwamba unatuletea mambo gani haya?
Hatahivyo,baada ya kuanza kusoma nimejikuta nacheka kukaribia kulia!
Kusema ukweli dogo unajua kusimulia stori kwa njia ya kusisimua mno. Unakipaji ambacho unatakiwa kukikuza na kukitumia!
Stori ni ya ovyo lakini kwa jinsi ulivyoisimulia,it is very interesting!
Umeniondolea stress kabisa! Hata hivyo,acha ulaji wa namna hiyo!
Kwani mleta mada ni HE? Hongera kwa kipaji cha uvumbuzi...Mtoto wa kiume kuelezea kujamba kwake kidogo inatia wasiwasi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]kuna moja nilinyambaga hadi mtoto akaota upele...mwingine macho yalianza kuwasha akawa analia tu