Tuliowahi kukutana na majungu tukutane hapa

Tuliowahi kukutana na majungu tukutane hapa

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Daah, wabongo bwana nadhani majungu ni sehemu ya mada huko mashuleni, kuna watu ni wataalam.

Yaani unaweza pigwa jungu mpaka wewe mhusika mwenyewe unaamini ingawa sio kweli.

Haha, kuna baadhi ya watu ni mafundi aisee, yaani mtu anaweza kaa nusu saa nzima anaelezea uongo tu na wala hata hapepeseki kope, na unakuta huko anakosali ni mzee wa kanisa, unabaki kujiuliza hivi huyu Mungu anayemtumikia ni huyu huyu ninayemfahamu mimi?

Karibuni tupeane uzoefu wa majungu sehemu za kazi.
 
Lumumba ndio chemchem ya majungu, fitina, uzandiki, ulafi na mambo mengine mengi yachukizayo,

Sintosahau fitina nilizopigwa kwenye mbio za mwenge hii nitailetea uzi
 
Lumumba ndio chemchem ya majungu,fitina,uzandiki,ulafi na mambo mengine mengi yachukizayo,
Sintosahau fitina nilizopigwa kwenye mbio za mwenge hii nitailetea uzi
Unajaribu kusema nini mbweha wa BAVICHA wewe

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Back
Top Bottom