Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhuuuuu Pole aiseeee mmKesi ya kipuuzi sana,
Nilikamatwa napiga picha eneo la kanisa
Mtetezi nikapata ila mkuu wa kituo akawa anabana.
Duh,pole ndg!!Siji sahau siku niliwekwa ndani kisa kuendesha bajaji mpya iliotoka kushuka kwenye gari kupeleka kwa fundi kuiweka vizuri. etii kwanini natembea na bajaji isio na stika yoyote ile? nilipigwa makofi nakuwekwa ndani siku tatu pamoja na bos wangu hio 2008.
Nilikamatwa selo ya mchepuko... Nguo zikalowekwa kisha askari akatumwa home kunichukulia msosi na kutoa taarifa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nilikamatwa patrol,sitasahau harufu mbaya ya selo
Dhuuuuu Pole aiseeee mm
Ndo maana nasema hata
Nipate askar anapgiwa na nna
Uwezo wa kumuokoa wala
Smuokoi cha zaid namuongezea kipgo
Dunda kabisa, ikiwezekana kata hadi malighafi za ikulu ukawape nguruwe watibu njaa zaoDhuuuuu Pole aiseeee mm
Ndo maana nasema hata
Nipate askar anapgiwa na nna
Uwezo wa kumuokoa wala
Smuokoi cha zaid namuongezea kipgo
Ina maana huyo mzee alikuwa anakutongoza ili akufire au ni vipi?Aise siwezi kusahau ilikuwa mwaka 2010 nikiwa nipo sekondari kuna mzee alikuwa na kawaida ya kutongoza wavulana siku hiyo akaniita akamwaga sera zake kilichofuata baada ya hapo nikampa majibu ya hovyo ambayo yalimuuma na rafiki zangu wakaja nao wakampa matusi ya kutosha,baada ya siku mbili mzee akaenda kushitaki kituoni kwamba sie ni wezi tukaja kukamatwa usiku mida ya saa nane tukiwa tumelala mlango ukagongwa tulifungua tukafungwa mashati na pingu mikononi mpaka kituo cha polisi mpaka asubuhi,tulikamatwa wanne tena wawili tulikuwa wanafunzi,wengine wawili walikuwa saidia fundi garage, asubuhi ikaja kuripotiwa kwamba watoto wamepotea pale kituoni ikabidi afande aulize "ndio yale majambazi tuliyokamata usiku?"cha kushukuru sura zetu na wizi haziendani maana hata bangi wala pombe hatukuwahi kutumia ikabidi afande aelezwe full story A to Z ndio tukaachiwa tena free bila kutoa hata senti,hiyo ndio ilikuwa siku niliyolala selo japo katika maisha yangu nilishajiwekea siku za nyuma kwamba siwezi lala selo mimi,siwezi kusahau aisee