kuna duka nilikuwa naenda kunywa juice kila siku kama mtoto.hii kitu tamu mpaka tunakuwa wajinga.kasichana kalikuwa kazuri sanaHabari zenu, katik maisha hasa haya ya kusaka warembo wanaume wengi tumejikuta watu wa kufanya mambo bila ridhaaa kupenda.
Mm si mpenz wa kunywa maziwa kabisa, lakin hapa mjini kuna mdada mrembo anauza maziwa ktk jengo letu, sasa nilikuwa namlia timing na njia pekeee ni ya kunywa maziwa ambayo anayouza, najikuta nayazoea maziwa kwa lazima aiseee, week ya pili sasa nakunywa maziwa yake.
Muda mwingine nawahi kunywa chai yangu ya rangi lakini akifika yeye najikuta naagizia tena maziwa.
Tuliokumbwa na kadhia hii tukutane hapa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nimepitilizaa sanaa Vituo vya magari dadekiii...!! Afuu hata namba siambuliiii... Ilaa kuna wadada wazuriiiii mpaka daaah...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] akimkosa atakuwa amejenga afya yake kwa kunywa maziwaDuuh. Pole sana. Ila hapo inabidi utangaze nia mapema sababu unaweza nunua maziwa weee hadi mwisho wa siku ukija kutangaza nia unajikuta ushachelewa hivyo unajikuta umeambulia patupu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna njemba hapa street zilikuwa zinakula mapera balaa kisa demu anauza habari walikuwa wanaipata kwenye kutoa haja kubwa. Ila hakuna aliyekula mzigo waliambulia kutatuliwa malinda kila siku na mbegu za mapera.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] akimkosa atakuwa amjenga afya yake kwa kunywa maziwa
HahahahaaHapa pesa zinaniishia naunga bando kila kukicha kuna nayemfuatilia humu ila ndiyo hivyo tena....
Mola anisaidie tu.Hahahahaa
Amin inshallah lakini why usimwambie mkuu unaweza kuja mwambia baadae ikawa too late life is about taking risks 'jilipue'Mola anisaidie tu.