Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Habari zenu,
Katika maisha hasa haya ya kusaka warembo wanaume wengi tumejikuta watu wa kufanya mambo bila ridhaaa kupenda.
Mm si mpenz wa kunywa maziwa kabisa, lakin hapa mjini kuna mdada mrembo anauza maziwa ktk jengo letu, sasa nilikuwa namlia timing na njia pekeee ni ya kunywa maziwa ambayo anayouza, najikuta nayazoea maziwa kwa lazima aiseee, week ya pili sasa nakunywa maziwa yake.
Muda mwingine nawahi kunywa chai yangu ya rangi lakini akifika yeye najikuta naagizia tena maziwa.
Tuliokumbwa na kadhia hii tukutane hapa
Katika maisha hasa haya ya kusaka warembo wanaume wengi tumejikuta watu wa kufanya mambo bila ridhaaa kupenda.
Mm si mpenz wa kunywa maziwa kabisa, lakin hapa mjini kuna mdada mrembo anauza maziwa ktk jengo letu, sasa nilikuwa namlia timing na njia pekeee ni ya kunywa maziwa ambayo anayouza, najikuta nayazoea maziwa kwa lazima aiseee, week ya pili sasa nakunywa maziwa yake.
Muda mwingine nawahi kunywa chai yangu ya rangi lakini akifika yeye najikuta naagizia tena maziwa.
Tuliokumbwa na kadhia hii tukutane hapa