Thelonious
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 218
- 452
Najitahidi kadri ya uwezo nimejiapia hii week isipite maana huu udomozege unataka kunikosesha vizuri.Amin inshallah lakini why usimwambie mkuu unaweza kuja mwambia baadae ikawa too late life is about taking risks 'jilipue'
Haha kwa kweli, kila la heriNajitahidi kadri ya uwezo nimejiapia hii week isipite maana huu udomozege unataka kunikosesha vizuri.
Asante.Haha kwa kweli, kila la heri
Yaaaan brother acha tu, nakwambia hapa nakunywa maziwa kila siku, mbaya zaid hata chenji nasamehe kabisa,Hivi nyinyi vijana mnapata wapi haya mawazo??
Nimekumbuka miaka ya nyuma kidogoo mwishoni mwa miaka ya 90 hivi, nilijikuta napenda kuingia mskitini huku mimi ni mkristo
Kilichonikuta nikashtukia naletewa kadi ya mchango wa harusi aseeee
Hivi viumbe vina mengi ya kujibu siku za mwisho aseee
Ulikula mzigo?Nilijiunga Forever kwa ajili ya mrembo aliyekuwa ananisaundisha nijiunge... Nikajiunga kwa ajili yake na niliunguza karibu laki saba kununua 'package' ya kujiunga, bidhaa ambazo 'ziliozea' stoo kwa kuwa sikuwa na mpango na hiyo biashara ya Alovera.
Niliambulia manyoya 😵Ulikula mzigo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna njemba hapa street zilikuwa zinakula mapera balaa kisa demu anauza habari walikuwa wanaipata kwenye kutoa haja kubwa. Ila hakuna aliyekula mzigo waliambulia kutatuliwa malinda kila siku na mbegu za mapera.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilipitiliza kituo zaidi ya kilomita 60 ili nimsaundishe mtoto niliyekaa naye, nikaruka sarakasi zangu nikaambulia namba ya simu na ahadi kuwa lazima tutaonana.
Tulishuka wote ila yeye alifatwa na bodaboda, mimi usiku ushafika nikazama lodge, mid night nikatumiwa text ya usiku mwema.
Asubuhi nimetoka room sura ya kwanza kuonana nayo koridoni ni yule manzi kumbe alilala next door. Kabla sijamaliza kushangaa likatoka linjemba limejifunga shuka kiunoni, lina afya mara mbili zaidi yangu lina manyoya kifuani kama ngedere. Limeenda kubembeleza mhudumu awape chai mbili kwa kelele sana.
Sikuwa na cha kufanya zaidi ya kujiona bonge la pimbi na kugeuza nilikotoka. Hata kichai chao cha bure nikasusa.
Ujue alisha kusomaYaaaan brother acha tu, nakwambia hapa nakunywa maziwa kila siku, mbaya zaid hata chenji nasamehe kabisa,