Hahaaa. Ila niwasifu mna mioyo ya kipekee bana.-
Tuna mateso sana. Kuna siku nikiwa naenda Iringa bado kidogo nishuke Morogoro na kusamehe nauli kwa ajili ya mrembo fulani
Hahahaaa. Na kweli mdogo wangu wacha tu basi nighairi.Usijali bana mimi mdogo wako sigawiki
Utakosa wa kumtuma ujue
hahahahahahaaa
Bado Mlikuwa mnanunulia vitafunwa pale Scandia?KIBAHA BOYS enzi hizoo niko A level mwaka 2014-16 kuna manzi alikuwa anaitwa Husnaaa...aisee alikuwa anauzaa mihogoo ilee saa nne ni shulee nzima tunashambuliaa mihogo vilee shule ya boys...ikiisha ndo tunaanza vitafunwa vingine..!! Siku husna asipokujaa mihogo yaoo inadororaa... Wadau wengine wanamsonga songa na matiti wanagusa gusa humo humo..yani shidaa..Kulaa mihogo sana ka Nguruwee hata iwee mibaya vipii
Mama bonge alikuwa na pilipilii amaizing...!! Husna 2009 hakuwepo alianza kuja 2014 ni manzi flani mrefu mweupee... Mkalii kishenzii yanii sema shidaa tu hazina adabu... me 2009 ndo nlianza form 1...Bado Mlikuwa mnanunulia vitafunwa pale Scandia?
Husna ni yule demu black au ni mwingine?
Nb: Umenikumbusha mihogo ya mama bonge, i was there.... Nilimaliza 2009 hapo,nilikuwa PCM
Aisee, basi huyo simfahamu. Miaka hiyo nilikuwa sina time na mambo ya mabinti kabisa.Mama bonge alikuwa na pilipilii amaizing...!! Husna 2009 hakuwepo alianza kuja 2014 ni manzi flani mrefu mweupee... Mkalii kishenzii yanii sema shidaa tu hazina adabu... me 2009 ndo nlianza form 1...
au ile utakuta umemuona dada ameenda sehemu ambayo hata hukuwa na ratiba nayo au kama yupo shop na wewe unajipeleka unanunua kitu ambacho hata hukutegemea,lkn unamfuata eti kisa tu uanzishe mazoea,mwisho wa siku unachezea kitasa...hawa viumbe hawa.
Haa ha ha ha... sina mzee..!! Kitambo sana naisi asholewaa hata...Aisee, basi huyo simfahamu. Miaka hiyo nilikuwa sina time na mambo ya mabinti kabisa.
Nilikuwa nakula msuli 24/7, si unajua msuli wa kibaha tena.
I wish nimuone huyo Husna. Huna namba yake?