rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
KIBAHA BOYS enzi hizoo niko A level mwaka 2014-16 kuna manzi alikuwa anaitwa Husnaaa...aisee alikuwa anauzaa mihogoo ilee saa nne ni shulee nzima tunashambuliaa mihogo vilee shule ya boys...ikiisha ndo tunaanza vitafunwa vingine..!! Siku husna asipokujaa mihogo yaoo inadororaa... Wadau wengine wanamsonga songa na matiti wanagusa gusa humo humo..yani shidaa..Kulaa mihogo sana ka Nguruwee hata iwee mibaya vipii