Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Nakumbuka nilikuwa nimempakia babu yangu maeneo ya morogoro kwenye baiskeli,sas ile njia siiikumbuki,ila babu km sehemu mbaya ananiambia kwamba tushuke,maaana njia ilikuwa na kona nyingi mno,almost njia yote ikuwa ya kona,sas kumbe babu amelala mm nikiwanasikilizia director wangu,sasa ile nakata kona babu ndio kastuka maaana alikuwa anasinzia,akaniambia pabaya tushuke,aaaakha wapi baiskeli imechanganya ile speed kufunga brake zote zilikatika,nakumbuka baabu alianza kulia,sasa kitu kimewiva hatari huku mzeee analalamika endapo tukifika chini tutapasuka vibaya nadhani hata kufa pia,kwan pembezoni kulikuwa na mawe makubwa sana na mengi,lakini mchezo nilioucheza we acha tu"NAMUOMBEA KWA MUNGU APUMZIKE MAHALI PEMA BABU YANGU KIPENZI"