Tuliowahi kupata division zero na four tukutane hapa. Je, tunajuta?

Tuliowahi kupata division zero na four tukutane hapa. Je, tunajuta?

Wazee wa baka bencha mpo (ilininichukua miaka mingi kujua kwamba Ilikua inamaanisha back bench yaani seat ya nyuma 😁😁)...
Ule usemi wa elimu ni ufunguo wa maisha ni uongo mtupu. Elimu ni ufunguo wa maisha kwenye kitasa kilicho badilishwa, huo ufunguo hauwez fungua. Maisha yalisha badilika sana.

Kwenye masha ili kufanikiwa kuna mambo matatu.

1. Bahati au kipaji that is natural blessing
2.Elimu yan uwe na akili ya darasani
3. Bidii ya kazi.

Sasa huwezi kosa vyote hapo. Kama huna akili za darasani basi unatakiwa uwe na bahati ya maisha au uwe na bidii ya kazi ndipo utatoboa, unatakiwa ujitafute ujijue unaangukia wapi kati ya hayo matatu. Na hata ukiwa na akili za darasani bila bidii ya kazi hutoboi.
 
Wazee wa baka bencha mpo (ilininichukua miaka mingi kujua kwamba Ilikua inamaanisha back bench yaani seat ya nyuma [emoji16][emoji16]).

Nimeingia secondary Mwanza pale nyakabungo nikazingua vibaya mno nikafukuzwa Shule nikahamia Thaqafa secondary kwa ogweyo na opiyo nikatandika zero takatifu.

View attachment 2527209

Kiukweli nilizungua saaana sikuwahi kupenda kusoma kabisa, ukorofi Mimi, mipira Mimi, utoro ndio Ilikua jadi yangu, Mibangi sana naenda Shule saa 2 saa 5 nimepotea (nyakabungo Hapo).....

Thaqafa pale nimeruka ukuta kwenda kuzurura town (nilipelekwa boarding na mzee) niliona Shule kama mateso tu, Mwisho wa siku nikapata division zero nzuri tu.

Nimekuwa baba Sasa kiukweli siwezi kumdanganya mtoto wangu kwamba nilikua na akili saaana (kama wazazi mnavyowadanganya watoto wenu) Ila vice versa mtoto wangu Yuko la kwanza naona kama anajitahidi sio kama Mimi baba ake labda karithi akili kutoka kwa mama ake.

Navyoyaona maisha kwa Sasa, Kuna watu wamezaliwa ni given wako na uwezo tu msuli kidogo matokeo makubwa, wapo ambao walikua na msuli temboo matokeo sisimizi kama ya kwangu tu.

Nimezaliwa kwenye familia ambayo wengine walipata division one Lakini Mimi nilipata zero je Mimi ni kilaza? [emoji16][emoji16] Au sikua serious?

MTAZAMO WANGU
Elimu ni nzuri sana, ukitaka kua na pesa kwenye elimu basi inabidi usome saaana kwa viwango vya juu basi Hapo utamiliki pesa, pasipo elimu Kuna viwango ambavyo uwezi kuzifikia.

Baada ya kupata zero mzee wangu alinambia neno moja, POPOTE PALE ULIPO KATIKA ENEO ULIPO UFANYE KAZI KWA JUHUDI NA BIDII SAAANA, Uwe umesoma au hujasoma juhudi na bidii nadhani ndio ufunguo wa kutengeneza milo mitatu kwa siku, hii ndio principle ninayotembea nayo huku mashambani.

Wenzangu tuliopata zero je tunajuta? Je, unatamani kurudi shule kusawazisha makosa? Mtoto wako akipata zero utaumia?
Oy mwaka gn? Me mwenyewe nimemaliza nyakabungo hapo ila sikuwa kilaza kama ww
 
Mimi bhana darasa la tatu mpaka la saba sikuwahi kutoka nje ya namba 1-3

Secondary nikawakimbiza shule ya Kata mock zote Na necta ni one Na two division

Advance nikazingua PCB ila nikaenda chuo Fulani nikabutua GPA YA KAWAIDA UPPER SECOND ILA KWENYE INTERVIEW YAO UTUMISHI SIKUFANYA MAKOSA NIKAONYESHA UWEZO WANGU KWELI NIKABUTUA NIKAJA KAZINI NIKAONYESHA TENA UWEZO WA KAZI nikakubalika sana na maboss kwenye utendaji LICHA YA MADHAIFU YANGU NA HASA MITUNGI..

NIKAJA KWENYe KUCHAGUA mke kweli sijakosea NIKAJA kwenye kujaza mimba sijafanya kosa ni kubutua tu..NIKAJA kwenye ujasiriamali Na biashara hapa bado napambana ila Nina bonge la idea kila siku linaniingizia 8500 nimekaa tu....
Bro nahisi kabisa Mimi nlipofikia nmeharibu nipo chuo mwaka wa mwisho Ila nmezngua sanaa adi najihoji kichwani ndo Sina akili kiasi hiki, au Ni nn??nlosoma nao advance watastaajabu wakiona au kusikia navyofeli nakaza tu adi mwisho nivune ntakachopata au kutopata chcht kabisa,nyumbani watu wote naowafahamu hamna aliefika level ya chuo kijana wao wananiangalia Ila Hali yangu kitaaluma inasikitisha nafikiri imechangiwa na kusoma course ambayo nliselect kwamba nkifika chuo ntabadili mwisho wa siku nlipofikia chuo ilishindikana ikabidi nikaze tu.. nyumbani njaa Kali Sina ata pa kushika naomba tuwasiliane ili japo niingie kwenye project ako mkuu 0678314888..
 
Wazee wa baka bencha mpo (ilininichukua miaka mingi kujua kwamba Ilikua inamaanisha back bench yaani seat ya nyuma [emoji16][emoji16]).

Nimeingia secondary Mwanza pale nyakabungo nikazingua vibaya mno nikafukuzwa Shule nikahamia Thaqafa secondary kwa ogweyo na opiyo nikatandika zero takatifu.

View attachment 2527209

Kiukweli nilizingua sana sikuwahi kupenda kusoma kabisa, ukorofi Mimi, mipira Mimi, utoro ndio Ilikua jadi yangu, Mibangi sana naenda Shule saa 2 saa 5 nimepotea (nyakabungo Hapo).....

Thaqafa pale nimeruka ukuta kwenda kuzurura town (nilipelekwa boarding na mzee) niliona Shule kama mateso tu, Mwisho wa siku nikapata division zero nzuri tu.

Nimekuwa baba Sasa kiukweli siwezi kumdanganya mtoto wangu kwamba nilikua na akili saaana (kama wazazi mnavyowadanganya watoto wenu) Ila vice versa mtoto wangu Yuko la kwanza naona kama anajitahidi sio kama Mimi baba ake labda karithi akili kutoka kwa mama ake.

Navyoyaona maisha kwa Sasa, Kuna watu wamezaliwa ni given wako na uwezo tu msuli kidogo matokeo makubwa, wapo ambao walikua na msuli temboo matokeo sisimizi kama ya kwangu tu.

Nimezaliwa kwenye familia ambayo wengine walipata division one Lakini Mimi nilipata zero je Mimi ni kilaza? [emoji16][emoji16] Au sikua serious?

MTAZAMO WANGU
Elimu ni nzuri sana, ukitaka kua na pesa kwenye elimu basi inabidi usome saaana kwa viwango vya juu basi Hapo utamiliki pesa, pasipo elimu Kuna viwango ambavyo uwezi kuzifikia.

Baada ya kupata zero mzee wangu alinambia neno moja, POPOTE PALE ULIPO KATIKA ENEO ULIPO UFANYE KAZI KWA JUHUDI NA BIDII SAAANA, Uwe umesoma au hujasoma juhudi na bidii nadhani ndio ufunguo wa kutengeneza milo mitatu kwa siku, hii ndio principle ninayotembea nayo huku mashambani.

Wenzangu tuliopata zero je tunajuta? Je, unatamani kurudi shule kusawazisha makosa? Mtoto wako akipata zero utaumia?
Kumbe ulizungusha mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mada umesema upo Kigoma na ni mtumishi wa serikali, halafu hapa tena unasema ulipata division zero...JF
 
Back
Top Bottom