Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
- Thread starter
-
- #21
Muhimu ni kupambana popote paleMimi bhana darasa la tatu mpk la saba sikuwahi kutoka nje ya namba 1-3
Secondary nikawakimbiza shule ya Kata mock zote Na necta ni one Na two division..
Ule usemi wa elimu ni ufunguo wa maisha ni uongo mtupu. Elimu ni ufunguo wa maisha kwenye kitasa kilicho badilishwa, huo ufunguo hauwez fungua. Maisha yalisha badilika sana.Wazee wa baka bencha mpo (ilininichukua miaka mingi kujua kwamba Ilikua inamaanisha back bench yaani seat ya nyuma ππ)...
Sikuendelea mbele kutokana na sababu fulani.Umekosa kazi mkuu..sorry lakini umesomea nini
Umeongea ukweli mtupuUle usemi wa elimu ni ufunguo wa maisha ni uongo mtupu. Elimu ni ufunguo wa maisha kwenye kitasa kilicho badilishwa, huo ufunguo hauwez fungua. Maisha yalisha badilika sana...
Oy mwaka gn? Me mwenyewe nimemaliza nyakabungo hapo ila sikuwa kilaza kama wwWazee wa baka bencha mpo (ilininichukua miaka mingi kujua kwamba Ilikua inamaanisha back bench yaani seat ya nyuma [emoji16][emoji16]).
Nimeingia secondary Mwanza pale nyakabungo nikazingua vibaya mno nikafukuzwa Shule nikahamia Thaqafa secondary kwa ogweyo na opiyo nikatandika zero takatifu.
View attachment 2527209
Kiukweli nilizungua saaana sikuwahi kupenda kusoma kabisa, ukorofi Mimi, mipira Mimi, utoro ndio Ilikua jadi yangu, Mibangi sana naenda Shule saa 2 saa 5 nimepotea (nyakabungo Hapo).....
Thaqafa pale nimeruka ukuta kwenda kuzurura town (nilipelekwa boarding na mzee) niliona Shule kama mateso tu, Mwisho wa siku nikapata division zero nzuri tu.
Nimekuwa baba Sasa kiukweli siwezi kumdanganya mtoto wangu kwamba nilikua na akili saaana (kama wazazi mnavyowadanganya watoto wenu) Ila vice versa mtoto wangu Yuko la kwanza naona kama anajitahidi sio kama Mimi baba ake labda karithi akili kutoka kwa mama ake.
Navyoyaona maisha kwa Sasa, Kuna watu wamezaliwa ni given wako na uwezo tu msuli kidogo matokeo makubwa, wapo ambao walikua na msuli temboo matokeo sisimizi kama ya kwangu tu.
Nimezaliwa kwenye familia ambayo wengine walipata division one Lakini Mimi nilipata zero je Mimi ni kilaza? [emoji16][emoji16] Au sikua serious?
MTAZAMO WANGU
Elimu ni nzuri sana, ukitaka kua na pesa kwenye elimu basi inabidi usome saaana kwa viwango vya juu basi Hapo utamiliki pesa, pasipo elimu Kuna viwango ambavyo uwezi kuzifikia.
Baada ya kupata zero mzee wangu alinambia neno moja, POPOTE PALE ULIPO KATIKA ENEO ULIPO UFANYE KAZI KWA JUHUDI NA BIDII SAAANA, Uwe umesoma au hujasoma juhudi na bidii nadhani ndio ufunguo wa kutengeneza milo mitatu kwa siku, hii ndio principle ninayotembea nayo huku mashambani.
Wenzangu tuliopata zero je tunajuta? Je, unatamani kurudi shule kusawazisha makosa? Mtoto wako akipata zero utaumia?
Nikimaliza Thaqafa nyakabungo nilisoma miaka miwili nikafukuzwaOy mwaka gn? Me mwenyewe nimemaliza nyakabungo hapo ila sikuwa kilaza kama ww
Nakubali aiseeKwa asilimia kubwa kadiri unavyofaulu sana shule ndio ambavyo unaweka ukaribu wa kuja kuajiriwa na kukosa uhuru
Ulete bwana na sie tumwage machungu yetuTuliofaulu na hatuna mbele wala nyuma tunakuja na uzi wetu???πππ
Bro nahisi kabisa Mimi nlipofikia nmeharibu nipo chuo mwaka wa mwisho Ila nmezngua sanaa adi najihoji kichwani ndo Sina akili kiasi hiki, au Ni nn??nlosoma nao advance watastaajabu wakiona au kusikia navyofeli nakaza tu adi mwisho nivune ntakachopata au kutopata chcht kabisa,nyumbani watu wote naowafahamu hamna aliefika level ya chuo kijana wao wananiangalia Ila Hali yangu kitaaluma inasikitisha nafikiri imechangiwa na kusoma course ambayo nliselect kwamba nkifika chuo ntabadili mwisho wa siku nlipofikia chuo ilishindikana ikabidi nikaze tu.. nyumbani njaa Kali Sina ata pa kushika naomba tuwasiliane ili japo niingie kwenye project ako mkuu 0678314888..Mimi bhana darasa la tatu mpaka la saba sikuwahi kutoka nje ya namba 1-3
Secondary nikawakimbiza shule ya Kata mock zote Na necta ni one Na two division
Advance nikazingua PCB ila nikaenda chuo Fulani nikabutua GPA YA KAWAIDA UPPER SECOND ILA KWENYE INTERVIEW YAO UTUMISHI SIKUFANYA MAKOSA NIKAONYESHA UWEZO WANGU KWELI NIKABUTUA NIKAJA KAZINI NIKAONYESHA TENA UWEZO WA KAZI nikakubalika sana na maboss kwenye utendaji LICHA YA MADHAIFU YANGU NA HASA MITUNGI..
NIKAJA KWENYe KUCHAGUA mke kweli sijakosea NIKAJA kwenye kujaza mimba sijafanya kosa ni kubutua tu..NIKAJA kwenye ujasiriamali Na biashara hapa bado napambana ila Nina bonge la idea kila siku linaniingizia 8500 nimekaa tu....
Kumbe ulizungusha mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wazee wa baka bencha mpo (ilininichukua miaka mingi kujua kwamba Ilikua inamaanisha back bench yaani seat ya nyuma [emoji16][emoji16]).
Nimeingia secondary Mwanza pale nyakabungo nikazingua vibaya mno nikafukuzwa Shule nikahamia Thaqafa secondary kwa ogweyo na opiyo nikatandika zero takatifu.
View attachment 2527209
Kiukweli nilizingua sana sikuwahi kupenda kusoma kabisa, ukorofi Mimi, mipira Mimi, utoro ndio Ilikua jadi yangu, Mibangi sana naenda Shule saa 2 saa 5 nimepotea (nyakabungo Hapo).....
Thaqafa pale nimeruka ukuta kwenda kuzurura town (nilipelekwa boarding na mzee) niliona Shule kama mateso tu, Mwisho wa siku nikapata division zero nzuri tu.
Nimekuwa baba Sasa kiukweli siwezi kumdanganya mtoto wangu kwamba nilikua na akili saaana (kama wazazi mnavyowadanganya watoto wenu) Ila vice versa mtoto wangu Yuko la kwanza naona kama anajitahidi sio kama Mimi baba ake labda karithi akili kutoka kwa mama ake.
Navyoyaona maisha kwa Sasa, Kuna watu wamezaliwa ni given wako na uwezo tu msuli kidogo matokeo makubwa, wapo ambao walikua na msuli temboo matokeo sisimizi kama ya kwangu tu.
Nimezaliwa kwenye familia ambayo wengine walipata division one Lakini Mimi nilipata zero je Mimi ni kilaza? [emoji16][emoji16] Au sikua serious?
MTAZAMO WANGU
Elimu ni nzuri sana, ukitaka kua na pesa kwenye elimu basi inabidi usome saaana kwa viwango vya juu basi Hapo utamiliki pesa, pasipo elimu Kuna viwango ambavyo uwezi kuzifikia.
Baada ya kupata zero mzee wangu alinambia neno moja, POPOTE PALE ULIPO KATIKA ENEO ULIPO UFANYE KAZI KWA JUHUDI NA BIDII SAAANA, Uwe umesoma au hujasoma juhudi na bidii nadhani ndio ufunguo wa kutengeneza milo mitatu kwa siku, hii ndio principle ninayotembea nayo huku mashambani.
Wenzangu tuliopata zero je tunajuta? Je, unatamani kurudi shule kusawazisha makosa? Mtoto wako akipata zero utaumia?