[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Aisee balaaaNiliwah kula bet mil 5 hata sujajua nn kilitokea nilinikuta nina lak 2 sijanunua hata boxa ya kuvaa mamaeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ya kifala sana usipo kuwa na nidhamu unashangaa uko mtupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Aisee balaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna bro wangu kakata 250,000,000 ndani YA miezi 14 hivi sasa Hana HatA mia mbovu....sio mda ataanza kuongea peke yake roadHuwa nawaonea huruma wazee wastaafu waliofilisika,unakuta alilamba M150.Halafu hazijafika hata miaka miwili zimeisha,kinachofuata n kuongea barabarani.
Nidhamu ya pesa wanayo watu wachache hasa wale walioisumbukia hiyo hela mpaka kuipataa...!!
sio kumisi tu Bali kila ukiiona ATM unaikasirikia...😀Sasa hela zenyewe za msimu.bora ziwe zako. Mwisho wa siku zikiisha. Unaweza ukaumwa ugonjwa wa kumiss ATM.
hela bhana zina mambo mengi...ndo maana huwa sishangai mtu kufirisika..ila huwa naomba Mungu siku nikikamata tena hela anipe hekima na busara juu ya kuzitumia.Kuna bro wangu kakata 250,000,000 ndani YA miezi 14 hivi sasa Hana HatA mia mbovu....sio mda ataanza kuongea peke yake road
Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
Na ndo hicho ambacho wengi hatutaki..nitaishije maisha magumu huku nina hela...kwa kweli ni wachache wenye kipaji hichoIla watu wenye displin ya hela huishi maisha magumu sana.
Duh 250m kwa miezi 14...Kuna bro wangu kakata 250,000,000 ndani YA miezi 14 hivi sasa Hana HatA mia mbovu....sio mda ataanza kuongea peke yake road
Vijana wa mujini wanasema kula bata..yaaan ukimiti naye ana mawazo kishenzi..Duh 250m kwa miezi 14...
Kweli sisi wengine bado hatujawahi shika hela wala hatujawahi fulia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh,uamuzi wa kishujaa huu.Mimi sina biashara, nimehamua kufa maskini, pesa kidogo niliyonayo ninamalizia kwenye pombe.
Ha ha ha,nilikua na kikazi kimoja kila siku hela ya maji ya kunywa 100,000 na kuendelea,
nakumbuka nimekula ulabu toka 2000-2010 non stop daily,
kweli pombe sio chai jameni,acheni nilime haya majaruba tu
Danga ndo nini mdada?
Hiyo nickname yako inahusiana na hiii story[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Nilikuwa nakaanga mayai 10 kila siku.
Nikienda bar. Mbuzi choma ya 10,000.
Kuhonga sasa.kuvaa usiseme.
Mara ya mwisho Naenda ATM. Kuna 4,500..
Nilikuwa mdogo.ila HeLa za kukinga tu hazina Baraka
Hiyo nickname yako inahusiana na hiii story[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Nilikuwa nakaanga mayai 10 kila siku.
Nikienda bar. Mbuzi choma ya 10,000.
Kuhonga sasa.kuvaa usiseme.
Mara ya mwisho Naenda ATM. Kuna 4,500..
Nilikuwa mdogo.ila HeLa za kukinga tu hazina Baraka