hiv positive living
Senior Member
- Jan 6, 2020
- 153
- 218
Hili lipeleke turiani morogoro likapige kazi ama kupata mteja ni fasta sanaTractor lenyewe ndio hili....limebaki kama ukumbusho wa pesa nilizojichanga kutoka nazo ujerumaniView attachment 1284065
Mtu ukirithi kilahalali pesa zake hazina shida, uafrika wetu ndio unaotuponza, mali za urithi watu wengi huzibugia hovyo hovyo kwa sababu hawazitokea jasho. Mwishoe utawasikia wakijifariji marehemu huondoka na mali zao, ila ukiangalia waasia, wazungu etc mali hizo hizo za urithi hutumika vizazi na vizazi, au ni marehemu wa kiafrika ndio wanaondoka na mali zao tu!?[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Nilikuwa nakaanga mayai 10 kila siku.
Nikienda bar. Mbuzi choma ya 10,000.
Kuhonga sasa.kuvaa usiseme.
Mara ya mwisho Naenda ATM. Kuna 4,500..
Nilikuwa mdogo.ila HeLa za kukinga tu hazina Baraka
Ukiwa nazo za kukinga.
Rafiki yako mkubwa ATM. Ukiingia pale una bofya tu. Mpunga unatoka. Zingine mpyaaaa. Alafu zina ubaridi ubaridi wa air condition. Ngoja siku ziishe. ATM utaipitia kwa mbaaali. Uingie ukafanye nini.?
Nimeyamiss haya maisha kwa kweli.
Wakati huo nilikua kijana mdogo tu nime hitimu chuo, icho kiasi kilikua kingi sanaa kwa wakati huo na hasa kwangu.Kupata milioni nne point something na kisha zikaisha ndio kupata hela nyingi na kufilisika? Nilijua ulikuwa level za kina Bakhresa au Ginimbi.
Mkuu bado uko na hawa jamaa?
Hahaa humtakii mazuri mwenzioSafari hii nenda singapore au bankok Tailand kuna bata sana malaya wazuri kama wote
Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka