Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Asante mamy nishabadilika ,Hela yenyewe sina siwezi kukanyaga tena ! Huwa napita kwa mbalii nikiwa naenda beach ununio kupunga upepo
Hhahhaah!ilikua mwaka gan?yaan ww!bora umebadilika...kazana...karibu kwenye umaskini!😅😉😉😉!