Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Pesa ya mkopo au ya dill usifanyie biashara.We 4m zinakuumiza,mi nishawahikopa 20M zikapotea heri ningefungulia hata zipu,nimejaribu bnezz nyingi nimeambulia hasara kwa miaka 15 ni jumla ya 120M zimepotea sijakata tamaa napambana bado najua iko siku.Huwezi kuwa tajiri bila kufilisika hata uwe smart vipi
Njoo Hodium ule pesa
 
Kuna babu yangu wa ukoo mwezi wa Sita aliingizwa mjini na vijana wa kongo wakamuuzia dhahabu feki.

Ni daktar msitaafu alikuwa anamiliki dispensary na baa siku vijana walimuibikia kwamba wana dhahabu ya mil 50 ila yeye akiuza atapata mil 400 mzee akashawishika na akajihakikishia kwamba ni dhahabu kweli akaenda bank akachukua balance ya account yake akachukua pesa za baa na za hospital akaongezea akanunua dhahabu akauchuna mambo yote haya aliyafanya kwa siri akumshirikisha .

Siku za wafanyakazi kidai mishahara zikafika madawa na vifaa hospital na watu wa kodi wakaanza mambo Yao kila anakoomba mkopo amalizane na ayo madai holaaa ndo ukabidi amwambie mdogo wake aliyekuwa anamwamini maana watoto wake wengi kila mtu kakaa kijambazi ndo akamwambia m hapa nina dhahabu tafuta mteja tuuze tumalize hii ishu mteja kupatikana kumbe dhahabu feki asee mzee alipandisha presha ghafla akafariki usiku uo akafa kwa aibu ya Tamaa na kuingizwa mjini na usomi wake pia akaiacha family na madeni
Nimemkumbuka headmaster wa shule moja kubwa ya Serikali mkoani mbeya

Baada ya kustaafu na kuvuta mkwanja mrefu

Wahuni wa mjini wakamuingiza mjini mzee wa watu kwa kumuuzia madini feki

Presha ikapanda akalazwa maisha yakawa magumu

Akarudi kufundisha

Sijui yuko wapi now

Matapeli
 
GREGO, Kama ingekuwa kwenye FX tunasema wewe una buy kwenye resistance na unasell kwenye support

Kinachokuangusha ni kimoja tu

"LACK OF INFORMATION"

TAFUTA TAARIFA ZA KUTOSHA KABLA HUJARISK CAPITAL YAKO
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hufai kufarijiwa kbs aisee...hv mnazuzuka nn kuhonga gari??yaan bora ungemfungulia biashara ila iwe yako lakini usimamiz na ww unakuwepo..akizengua unamfukuza mapemaaa!mtu wa kumnunulia gari ni wife tu!..ww hufai ht kubenbelezwa jibembeleze mwenyewe
Hahahahahaha
 
Ndo nn hio
Mfano
Screenshot_20191201-214916.jpeg
 
Nilijikuta nahela nyingi sana ...Nikanunua trector beralus milion 32


Nyingine nikajenga nyumba ambayo naishi mpaka leo , baada ya hapo


Starehe zikanizidi ....Viwanga sio viwanga mara hela ikakata ....Kabisa ...Waliokuwa marafiki wakanikwepa ...Mpk sasa nafikiria nikipata hela nirudi tu ugerumani nikajipange upya!! Maana bongo. Pagumu
 
Back
Top Bottom