Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilipata 29,000,000/- ! Sasa nimerudi Home! Na ka diploma kangu haka naangaika ajira ha ha ha ha
Uliipataje na uliitumiaje..dah had nimeogopa
Hahaaa...dahMi nikizipata sitafilisika...ewe mola nisaidie
Kwa nini umefuta mrembo wangu manengelo?Nimeandika nimefuta!
Wewe una shida sehem aisee..yaan mama ameamua akushike mkono unakija fanya ujinga namna hiyo????🤔..huyo ulompa paso upo naye bado?Kwa nini umefuta mrembo wangu manengelo?
Kila mtu kvyakeWewe una shida sehem aisee..yaan mama ameamua akushike mkono unakija fanya ujinga namna hiyo????🤔..huyo ulompa paso upo naye bado?
Aisee...! I bet uko under 30 ww!unajiskiaje nw kumuona mamaKila mtu kvyake
Yeah niko under 30 !mother hajafurahishwa kabisa naona aibu hata kumuomba hela tena! Japo nilimdanganya kuwa vifaa vya savey vimeibiwaAisee...! I bet uko under 30 ww!unajiskiaje nw kumuona mama
Yeah niko under 30 !mother hajafurahishwa kabisa naona aibu hata kumuomba hela tena! Japo nilimdanganya kuwa vifaa vya savey vimeibiwa
Sana aisee, Sasa hivi natafuta mtaji kidogo ninunue nguo kariakoo nije huku niuze!Aisee!dogo naamini unajutia sana sasa!...duh....!yaan ww!
Sana aisee, Sasa hivi natafuta mtaji kidogo ninunue nguo kariakoo nije huku niuze!
Huwa nasikiliza wimbo wa sina wa harmonize,
Sina hata wa kuni - comfort, njoo Unifariji manengelo
Niliwahi kupora demu mtu kwenye bar gfulani Tegeta Kwa jeuri ya fedha !
Ile bar iko upande wa kulia ukiwa unaenda mwenge🤣🤣🤣 ss ww ukienda migodini hufai kbs🤣🤣🤣!bar gan hyo tegeta..i bet bar fulan hv!hahhaahah
Ushaijua ?Ile bar iko upande wa kulia ukiwa unaenda mwenge
Sana tu...!Ushaijua ?
Asante mamy nishabadilika ,Hela yenyewe sina siwezi kukanyaga tena ! Huwa napita kwa mbalii nikiwa naenda beach ununio kupunga upepoNshaijua...🤣🤣 majambaz wote wanakaaga sana hapo matapele tapeli..ww ubadilike aisee!badilika haraka san