Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kakimbia nyie mambo yakienda hovyo mnahama foleni isiyotembea mnahamia foleni inayotembea asilimia kubwa.Huyo demu bado uko nae?[emoji23][emoji23]
Nilifilisika ma benki wakauza nyumba zangu 3 nikarudi maisha ya kupanga tena uswahilini
Serikali ndio chanzo madeni ya miradi ujenzi karibu billion moja.
Haya maisha yana mateso mengi mno kuwa tajiri na ukafilisika kunauma mno.
Huyo demu bado uko nae?[emoji23][emoji23]
Atakuwa kakimbia nyie mambo yakienda hovyo mnahama foleni isiyotembea mnahamia foleni inayotembea asilimia kubwa.
Huyo ni wa kufa kuzikana ukiona mwanamke amevumilia ukifilisika mheshimu sanaBado nipo nae.
Huyu dada nilianza kuwa nae nikiwa siwezi kusema nina kitu kihivyo. Kwahyo bado yupo. Japo kuwa upungufu wa pesa unaleta stress muda mwengine kwenye mahusiano ila bado tupo wote.
Halafu kweliAtakuwa kakimbia nyie mambo yakienda hovyo mnahama foleni isiyotembea mnahamia foleni inayotembea asilimia kubwa.
Huyo anakupendaBado nipo nae.
Huyu dada nilianza kuwa nae nikiwa siwezi kusema nina kitu kihivyo. Kwahyo bado yupo. Japo kuwa upungufu wa pesa unaleta stress muda mwengine kwenye mahusiano ila bado tupo wote.
Very trueHuyo ni wa kufa kuzikana ukiona mwanamke amevumilia ukifilisika mheshimu sana
Aisee mimi nipate 185M mimi alafu nifirisike kweli Hapana Mungu niepushe na kikombe cha kufirisika
Daah wee jamaa kama mm tu..semaa mm bahat nzuri nlikumbukaa kununua tuvitu tangible ambavyo tunanifarij hadi sasaa..kalaptop na kapikpik kidogo..vinamifarij..japo mm pia kuna biasharaa nilifunguaa ilaa ikafaa..shida usimamizi..bt vile vitu vya biasharaa bado vipo..asikwambie mtu kwa sisi ambao hatujazoea kushika ela nying..mkopo ukiingiaga mkubws tunachanganyikiws kweli yan..mimi nilisafir had mikoa ambay ckuwah fika yotee hyo jeuri ya fwezaa dah..leo hii.
Hiyo avatar ni wewe?Huyo anakupenda
Pesa mwaharamu.... Juzi nimepata kamshahara kangu paap ninavyoongea hapa leo tarehe 11 naishi kama kunguni.... Shit
Ndio mkuuHiyo avatar ni wewe?
Ni doctor?Pesa mwaharamu.... Juzi nimepata kamshahara kangu paap ninavyoongea hapa leo tarehe 11 naishi kama kunguni.... Shit
HongeraNdio mkuu
Mapito tu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23] sema we jamaa una story sana.
NI_PM NAMBA YAKO.Ndio mkuu
Mzee umepambana, safi sana.@Dianaspencer Jah is by my side mambo yanaenda btw nakuja Pm kukuchokozaView attachment 1258888