Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu mbavu jamaniPesa mwaharamu.... Juzi nimepata kamshahara kangu paap ninavyoongea hapa leo tarehe 11 naishi kama kunguni.... Shit
Kwanini hela ya mkopo isifanye biashara, fafanuaPesa ya mkopo au ya dill usifanyie biashara.We 4m zinakuumiza,mi nishawahikopa 20M zikapotea heri ningefungulia hata zipu,nimejaribu bnezz nyingi nimeambulia hasara kwa miaka 15 ni jumla ya 120M zimepotea sijakata tamaa napambana bado najua iko siku.Huwezi kuwa tajiri bila kufilisika hata uwe smart vipi
Biashara ni sawa na betting yaani uyajui yaliyojificha hadi uingie kwenye bness kwa theory biashara ni rahisi Sana.Biashara ni sawa na Maisha ya ndoa.Kwanini hela ya mkopo isifanye biashara, fafanua
Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka
Kwa uzuri huo, I hope umeolewa.Ndio mkuu
Hela ya bando umetoa wapi?mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
Asante ni mapitio tu ndio maisha hakuna namnadoooh, so sorry mkuu, muhimu uhai tu.
Kuna jamaa mmoja ambae amefanikiwa sana kwenye biashara. Sasa hivi ndo namtumia huyu kupata ushauri na information nyengine.Pesa ya mkopo au ya dill usifanyie biashara.We 4m zinakuumiza,mi nishawahikopa 20M zikapotea heri ningefungulia hata zipu,nimejaribu bnezz nyingi nimeambulia hasara kwa miaka 15 ni jumla ya 120M zimepotea sijakata tamaa napambana bado najua iko siku.Huwezi kuwa tajiri bila kufilisika hata uwe smart vipi
HahahhahaDah..... Shimo lilitema...nikakamata kama 500m....nikazunguka dunia nzima.... Siku nashuka JNIA najikuta Nina $75 tu....nikaona nikalewe tu[emoji87]