Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Mkuu pesa za riba uwe unatoa au kupokea hazijawah mwacha mtu salama hata upate kiasi gani zitakuja kukudhalilisha tu at the end
boss hiyo ni fikra zako, kwa taarifa kila biashara unayoiona ni riba....nunua 100 uza 150....hiyo 50 ni riba....mtu anakuja mwenyewe kukopa fedha yako akaifanyie kazi na unataja vigezo vyako bila hila yoyote na anakubali unampa fedha na anarudisha sawa na mlivyokubaliana....hapo dhambi/kosa lipo wapi....(kwa imani hii benki zote zingefilisika)
 
Safi Sana Kama umehacha kudanga.
 
Hahaahhahaah daah nimecheka sanaa.
 
Pesa mwana haramu, kaburi limefukuliwa tena🤣🤣
 
Pole mzeyaaa... Vipi babe bado yupo nawe au ndio kashatafuta kidume mwenye pesa zaidi yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…