Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Kupauka huko kweli hela zitakuwepo!?Safari hii nenda singapore au bankok Tailand kuna bata sana malaya wazuri kama wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupauka huko kweli hela zitakuwepo!?Safari hii nenda singapore au bankok Tailand kuna bata sana malaya wazuri kama wote
: 24663716 said:Mkuu pesa za riba uwe unatoa au kupokea hazijawah mwacha mtu salama hata upate kiasi gani zitakuja kukudhalilisha tu at the end
boss hiyo ni fikra zako, kwa taarifa kila biashara unayoiona ni riba....nunua 100 uza 150....hiyo 50 ni riba....mtu anakuja mwenyewe kukopa fedha yako akaifanyie kazi na unataja vigezo vyako bila hila yoyote na anakubali unampa fedha na anarudisha sawa na mlivyokubaliana....hapo dhambi/kosa lipo wapi....(kwa imani hii benki zote zingefilisika)Mkuu pesa za riba uwe unatoa au kupokea hazijawah mwacha mtu salama hata upate kiasi gani zitakuja kukudhalilisha tu at the end
Safi Sana Kama umehacha kudanga.Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka
Hahaahhahaah daah nimecheka sanaa.Tuliuza nyumba ya marehenu babu pale kariakoo karibu na faya wajukuu mgao 50ml nakumbuka terminal one lile jengo jekundu na mabenchi tuu.
Nshawai kwenda zenji me na rubani tuu ile company ya costar kama skosei 2000 hiyo
Viduka vya pamba town vilikua vinanijua maaana nikiwa dukani jua wauzaji hata aje AY hawamsikilizi
Nshaenda graduu pale zanaki nikasababisha graduu iharibike coz vurugu kubwa ilitokea mana watoto wote wazuri walikuja nilipokaaa kila mtu anataka nimjue masela wa Azaboy sindio wakamaind kilinuka balaaaaa
Ndio tupo kwenye vikao vya mwisho hapa kumalizia na hii tunakaa maana tumepauka safari hii akili kumkichwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaahah dooohTractor lenyewe ndio hili....limebaki kama ukumbusho wa pesa nilizojichanga kutoka nazo ujerumaniView attachment 1284065
Atakuwa ni PAPA RWEGASIRA, MZEE WA KIBINDANKOYIhahahhhhahahahhaha uyo atakuwa wale wazee wa mjini
Papaa msofe alikuwaga na hizi swaga akaja kufulia ile mbaya saizi sijui ana hali gani
Bro umekimbia uzi wako wa pornKufilisika kuskie TU kwa mwenzio