[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole Mkuu...Bwana wee ukipata hela ya mkupuo ni shida tena Kodi ya nyumba ya urithi.
Mpaka leo sijashika tena
Mkuu ww unayo?inawezekanaje mil 4 ionekane ni hela ya mtu kufirisika , mbona ni ndogo sana ?
Ni kweli mkuu hata sio utani
Jf Kuna vituko[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli umechanganyikiwa kaka, naona unaji quote mwenyewe na kujijibu mwenyewe, View attachment 1052059
Haaahaaahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habun
witnessj
Huu uzi mmeuona lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuona leo eti.. Ni unachekesha balaa[emoji28]Haaahaaahaaa
Huu uzi wa nilichangia 2017
Asante kwa kuurudisha tena!
Nasisitiza pia, hakuna hata ukitoa hiyo sufuri ya mwisho, hakunaHakuna Malaya wa kiwango hicho hapa tz . acha upuuzi.
Hahahahahaha kazi kweli kweli😇🤕Kweli umechanganyikiwa kaka, naona unaji quote mwenyewe na kujijibu mwenyewe, View attachment 1052059
Unafanya nini sasa hapa mjiniAfadhali ya wewe mm sijawai miliki hata laki tano ya pamoja.. nilibahatika ka laki ivi sasa nina ka biashara kangu ka kuchoma mahindi
Bil 2??????Nilifurukuta kwenye mvua na jua, usiku na mchana kwenye kazi za kutumwa, zenye maudhi ya kila aina, dhulma na visasi nikafanikiwa kupata mtaji kama m7, mzee baba nakomaa nayo hiyo kidogo sasa ka business kamefikia mtaji wa m15 ndani ya mwaka mzima, alafu biashara moja ya kidwanzi machoni pa watu lakini mm kwangu ni tamu kama nguruka, najenga ka mjenho ka pili, kupitia hiyo hiyo biashara bila ya kuingilia mtaji
Huko nyuma nishawahi kumiliki b2 ( ki ukweli nazo nilizipata kimazabe na zikaisha kimazabe ) nilichofanyia mpaka sasa sijui *****, lakini kufupisha tu story nilikutana na wacongo na waganda hawa watu sio poa, walinifanya niongee pekeyangu kwa miaka kadhaa.
Tajiri yetu wa JF Kiduku Lilo apitie hapa isijetokea siku tukamkuta nae anapanda guta badala ya Range rover.
Uongo wa mchana nenda benki kakope kwa hizo asset 🤣😇Hello wananzengo
Jamani jamani jamani, Niko serious, utani matusi na mizaha isiyokua na tija haitapokelewa.
Give me 3 million or 4 million na nakuahidi ntakachopata ambacho ni zaidi ya milioni 250, nitakupa milioni 50. Nina uhakika na nachoenda kufanya.
Guarantee tutaingia makubaliano kisheria kabisa, nina asset kama nyumba na kiwanja. This is serious. Wengi wana hela lakini hawajui wazifanyie nini ila wengine hatuna lakini nafasi kama hizi zinatujia kila uchwao.
When you are Man, you have to find money and more money, and more and more money, pssy, bia, starehe, zipo tu but ... MONEY, POWER. UJI ESTABLISH AS A MAN kwanza ndo mengine yafuate.
Mawasiliano zaidi yatafanyika pm.
Asante na karibu for serious minded.
Kuna mtu wa mtaji wa 30,000 kwa kuuza tangawizi mafungu naye anafilisika. Ya dunia ndugu yaache hutayaweza.inawezekanaje mil 4 ionekane ni hela ya mtu kufirisika , mbona ni ndogo sana ?
Nimeishia kutabasamu tu😁mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
wapo mkuu tembelea serena na kempinski unajua kyln ni demu wa class hizo kuna demu flani yuko tanesco pini ile mbaya inasomeshewa mtoto uingereza na danga acha mkuu watu wanajua kuhongaHakuna Malaya wa kiwango hicho hapa tz . acha upuuzi.
Nilifurukuta kwenye mvua na jua, usiku na mchana kwenye kazi za kutumwa, zenye maudhi ya kila aina, dhulma na visasi nikafanikiwa kupata mtaji kama m7, mzee baba nakomaa nayo hiyo kidogo sasa ka business kamefikia mtaji wa m15 ndani ya mwaka mzima, alafu biashara moja ya kidwanzi machoni pa watu lakini mm kwangu ni tamu kama nguruka, najenga ka mjenho ka pili, kupitia hiyo hiyo biashara bila ya kuingilia mtaji
Huko nyuma nishawahi kumiliki b2 ( ki ukweli nazo nilizipata kimazabe na zikaisha kimazabe ) nilichofanyia mpaka sasa sijui *****, lakini kufupisha tu story nilikutana na wacongo na waganda hawa watu sio poa, walinifanya niongee pekeyangu kwa miaka kadhaa.
Pesa ni pesa bana ukiweza kuizalisha unatoboa...sema ukiwa tu huna hulka ya kufanybiashara na kuzalisha utafeli hata kama utapata pesa ya Kanisa au msikiti.Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena hela za madanga, nimeolewa na ninatafuta hela kihalali.
Msiwashangae kina Wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka.
lete hii story mkuuNilifurukuta kwenye mvua na jua, usiku na mchana kwenye kazi za kutumwa, zenye maudhi ya kila aina, dhulma na visasi nikafanikiwa kupata mtaji kama m7, mzee baba nakomaa nayo hiyo kidogo sasa ka business kamefikia mtaji wa m15 ndani ya mwaka mzima, alafu biashara moja ya kidwanzi machoni pa watu lakini mm kwangu ni tamu kama nguruka, najenga ka mjenho ka pili, kupitia hiyo hiyo biashara bila ya kuingilia mtaji
Huko nyuma nishawahi kumiliki b2 ( ki ukweli nazo nilizipata kimazabe na zikaisha kimazabe ) nilichofanyia mpaka sasa sijui *****, lakini kufupisha tu story nilikutana na wacongo na waganda hawa watu sio poa, walinifanya niongee pekeyangu kwa miaka kadhaa.
Sijawahi kuzikamata dada, subiri nikizikamata utanitambua.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habun
witnessj
Huu uzi mmeuona lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sijawahi kuzikamata dada, subiri nikizikamata utanitambua.
Nitaanza na wewe mzee wa kipaso.