Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Bil 2??????
 
D
Tajiri yetu wa JF Kiduku Lilo apitie hapa isijetokea siku tukamkuta nae anapanda guta badala ya Range rover.

Uongo wa mchana nenda benki kakope kwa hizo asset 🤣😇
 
Nimeishia kutabasamu tu😁
 

Pole sana
 
Pesa ni pesa bana ukiweza kuizalisha unatoboa...sema ukiwa tu huna hulka ya kufanybiashara na kuzalisha utafeli hata kama utapata pesa ya Kanisa au msikiti.

Ila hapo kuhusu Madanga natamani kujua umrembo kiasi gani maana yaonesha unaita haswa.
 
lete hii story mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…