Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Mwezi wa tatu mwaka jana nikapewa mil 8 za mirathi. Nikawaza nifanyie nini? Wazo langu la kwanza, ninunue shamba porini, nifuge mbuzi na kondooo. Nikaenda minada ya mbuzi na kondooo, nikakuta hali siyo nzuri. Yaani vitoto vinauzwa kwa bei ya mbuzi na kondoo waliokomaa.

Jamaa yangu akanishauri tuchonge mitumbwi na kununua nyavu. Mwanzoni nikapewa tu hela, nikaongeza mtaji.

Nashtuka naambiwa nyavu za 2mil zimeibiwa. Hadi sasa nimebaki na mitumbwi yenye rangi ya tanganyika tu
Aisee noma.sanaa[emoji3][emoji3]
 
Du acheni kunikumbisha, nilikuwa nafanya kazi sehemu flani wafanyakazi wenzangu wakashawish kampuni iwe inatoa mkopo Mara pa ikakubaliwa na wenzangu walichukua mkopo mkubwa na Mimi nikachukua 8ml, do kwanza sijazigusa mwezi mzima najaza mipango kwenye makaratasi, usiku naamka napanga mipango, nikapata wazo nidroo pesa zote nikae nazo Ndani.

Nikadraw, siku moja kama demu wangu kaniambia mbona siku hizi unapiga mahesabu sana na makaratasi mengi mezani, nikamwambia hamna mipango tu, Mara akajua Nina pesa, akaja home sijui alinitime VIP akaiba zote, kuna machinga nilimuambia aniletee pas original asijal gharama, siku kaja nachek bahasha sioni pesa nampigia simu Selina hapatikani, nauliza nkaambiwa ameenda Morogoro, jamaa anasema pasi elfu 40, kaiacha hapo,
kuna dem wangu alikua mkoa mwingine bas skuhyo karudi na vihela akataka tukatembee mwanza tukaenda ila alikua na mawenge sana na hela zake nikazila zila nikabahatika kumchomoa 3m nikasepa zangu na sidhani hata kama alibakiwa na nauli
 
siku moja nilienda premier bet nikakaa kuna kidem nlikua nakifuatilia bas nilienda na 10k yangu 2k nikanunua tiketi ya kuchezea kwenye tablet nikawa nacheza mia mia nikivuta muda shift ya mtoto mzur ifike.

ile 2k ikazaa 30k jumla nkawa na 38k nikanunua soda bas mtoto mzur akaja naye akala soda. 7k nzima nikaiweka tena kwenye token za tablet nkawa nacheza mpka jero jero nkashindua 30k bas nkahamia kwenye spin ya screen kubwa pale mchezo ni kuanzia 500 bas nkaweka weka kuna mida 0 ikanipa hela mara mbili mfululizo kwa 500 unapata 18000 bas nikaanza kuvimba muda si muda nkaweka tena 26,0,32 basi 32 wa 2k akanipa 72k dah nikaona mambo ndo haya huku mtoto mzuri kila nikila nampa 5k au 2k inategemea nimeshinduaje.

mpka natoka premier bet pale nimekula msosi mzuri vinywaji na mtoto nimempa kama 30k hivi bas nkapiga hesabu nina kama 230k nikampanga mtoto mzur akitoka saa nne usiku anicheki tukaendelee kuenjoy.

Sasa nimetoka pale kufika geto ile hela nikaanza kuipangia mipango nkajikuta imeisha nkiwaza nina ahadi ya mtoto mzuri dah nkachukua 50k nkaibana mida ikafika kanicheki nkamchukua nkampaki geto nkakusanya mazaga zaga ya kula madompo konyagi na mabhange mengii tukakaa nje ya nyumba tukaanza kula mambo mpka saa saba mtoto kadata hajiwez tukazama ndani hapo ndo nlipokosea maana nimeamka asubuh nkamfungia asieondoke bas ile hela yote niliopanga mipango yangu nikajikuta naila na mtoto mzur ni mwendo wa ngono kula na pombe mixer bhange siku nne tu kahela kushney na hapo ndo nkamrudisha kwao siku naenda pale bet tena naambiwa kasimamishwa kazi nkasepa sikurud tena nkahama na shop[emoji41]
 
Kuna jamaa yangu mmoja alikuwaga anafanya kazi sheli fulani kitengo cha stoo ye ndo anajua yameingia mafuta kias gani na yametoka kiasi gani jamaa alipoizoea kazi akaanza kupiga cha juu yeye na jamaaa zake wawili Sababu Ile sheli ilikuwa inahumia magari ya serikali na viwanda vikubwa akawa anakula njama na madereva wanapiga cha juu enzi za jakaya.

Maisha yakaendelea jamaa na wale wenzake maisha yakawa bomba wakajenga majumba mjini sehemu t ofauti ila nyumba walizokuwa wanakaa wakajenga sehemu moja majumba ya ukweli kwa mtu asiyefahamu kazi Yao ungedhani wanapiga kazi migodini au wafanyabiashara wakubwa au watu wenye nyadhifa kubwa serikalini wakafungua biashara mbali mbali kweli wakawa H abari ya mjini kutokana na jinsi walivyodesign zile nyumba zao na wakajenga sehemu moja .

Kilichowaroga wakanunua magari ya kifahari wakawa wanaibuka nayo kazi mmoja Lexus ,mmoja x3,mwingine prado tx wakawa wanaenda nayo kazini kwenye shell ya muhind hicho ndo kiliibua maswal mfanyakazi anayelipwa 120000 kwa mwez anawezaje kumiliki magari ya kifahari namna hiyo within two years ndo uchunguzi ukafanyika wa kimya kimya wakagundua njama zao ndo wakafukuzwa kazi walifunguliwa mashtaka ya wizi wakawa wameshinda mahakamani maana washitaki walikosa vielelezo vya ushahidi wa waliiba Wapi basi kesi ikaisha muhindi aliwaambia kitu kimoja akawabembeleza Mara kwa Mara kwamba wauze zile Mali wamrudishie ela yake hata nusu lasivyo watahangaika mpaka mwisho wa maisha Yao jamaa wakaona muhindi anatania.

Maisha yakaendelea miezi ikasonga walianzaga kufilisika biashara haziendi vitu vya kule nje majumba wakaanza kuuza hadi magari life likawa gumu wote wakabaki na Yale majumba.

Alianza mmoja akauza akakimbilia visiwani na familia yake mwingine naye akafata akamuuzia mnunuzi aliyenunua Ile ya awali ilikuwa kampuni ya wazungu akabaki jamaa yangu uyo akawa mgumu kuuza nyumba make angehangaika plan yake ilikuwa abaki na nyumba aje aiombee mkopo au akipata mtu mwenye ela nzuri ndo auze ajenge nyumba ya kawaida kama m30 hivi apo ashapigika watoto alikuwa amewapeleka medium school kawahamishia kwa gvt Kula anagongea kwa ndugu na jamaa .

Wakati anawaza hivyo ndo tetemeko la ardhi likapitia nyumba yake ikaharibika vibaya sana haikuwepo namna z aidi ya kubomoa akajenga upya ndo jamaa akawa ameishia apo alikimbia mji sijui yuko Wapi.

Wito:wizi sio mzuri hasa kiwaibia hawa wahindi
Wew ni muhindi!?
 
Mwezi wa tatu mwaka jana nikapewa mil 8 za mirathi. Nikawaza nifanyie nini? Wazo langu la kwanza, ninunue shamba porini, nifuge mbuzi na kondooo. Nikaenda minada ya mbuzi na kondooo, nikakuta hali siyo nzuri. Yaani vitoto vinauzwa kwa bei ya mbuzi na kondoo waliokomaa.

Jamaa yangu akanishauri tuchonge mitumbwi na kununua nyavu. Mwanzoni nikapewa tu hela, nikaongeza mtaji.

Nashtuka naambiwa nyavu za 2mil zimeibiwa. Hadi sasa nimebaki na mitumbwi yenye rangi ya tanganyika tu
Daaah..pole sana jamaa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi kuna uhusiano gani Kati ya kukosa pesa na njaa?..
Maana ukiwa na pesa hata njaa husikii.

Ila uwe huna pesa sasa!!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Pesa ni silaha, ukiwa nayo njaa njaa haziwezi kukusogelea maana zinajua utaziadhibu vikali,

lakini kama pesa hakuna😂😂 njaa zinakufata kwa fujo maana zinajua hauwezi kuzifanya chochote,, ni kama wale Nzi wadogo wanaozungukiaga Karibu na sikio,, ukiwa una Mikono unaweza kuwafukuza,, ila kwa asiye na Mikono atakubali tu😂😂😂
 
Hivi kuna uhusiano gani Kati ya kukosa pesa na njaa?..
Maana ukiwa na pesa hata njaa husikii.

Ila uwe huna pesa sasa!!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Pesa ni silaha, ukiwa nayo njaa njaa haziwezi kukusogelea maana zinajua utaziadhibu vikali,

lakini kama pesa hakuna😂😂 njaa zinakufata kwa fujo maana zinajua hauwezi kuzifanya chochote,, ni kama wale Nzi wadogo wanaozungukiaga Karibu na sikio,, ukiwa una Mikono unaweza kuwafukuza,, ila kwa asiye na Mikono atakubali tu
 
Kufilisika kusikie tu. Binamu yangu alipataga mil. 600. Aliuza nyumba mikocheni , akanunua nyingine Mbezi beach milioni 200, na kuifanyia finishing iliyokuwa imebaki. Milioni 350 ziliisha hivihivi, alifungua duka la spear used za magari likafa etc. Aliishiwa hata hela ya nauli alikosa. Mbaya zaidi watoto na mkewe walimtenga kwa kuugua. Alikufa mwaka jana na stress.
Ukiona mke na watoto walimtenga huyo alitumia pesa peke yake bila kuwagawia watoto na mke wake, kama angewapa mgao watoto na Mama yao wala hasinge teseka kwa kutengwa.
 
Pesa ni silaha, ukiwa nayo njaa njaa haziwezi kukusogelea maana zinajua utaziadhibu vikali,

lakini kama pesa hakuna[emoji23][emoji23] njaa zinakufata kwa fujo maana zinajua hauwezi kuzifanya chochote,, ni kama wale Nzi wadogo wanaozungukiaga Karibu na sikio,, ukiwa una Mikono unaweza kuwafukuza,, ila kwa asiye na Mikono atakubali tu
Nakubali
 
Jamanii Pesaa ya BUMUU sio pesaa.. yaani unapewa kilaki 6 ndani ya week hujahonga hata.. Pesaa hunaa...!! Unaanza kushindiaa mikatee..Ivii mshahara unawezaje kutosha..!??? Discipline ya helaa wanayo wachache snaa

Kuna mwanangu mmoja hivi tulimaliza naye adavance,bahati nzuri tukakutana tena chuo udsm,ni chalii ya manyara babati huko,yule jamaa ana balaa,kwanza picha linaanza viatu vyake anavyovaa chuo ni vya advance,mwana mnapata boom wote ila nyie zenu zinakata zoote yeye bado anazo kama asilimia 95 hv ya hela zote..yule jamaa saluti sana anajua sana kumanage hela asee..

Hajawahi kuwa na demu,hali cafetaria ye zake ni wali maharage nje huko,maji anadownload kama kawa[emoji23][emoji23][emoji23]dah yule jamaa alikuwa ananiacha hoi sana..akati kuna mwanangu mwingine yeye ni jangwani sea breeze na yeye kila ijumaa,juis ya parachichi nzito na misosi ya cafetaria 1,mbona mwana alidisco[emoji23][emoji23]ni dereva bajaji leo town hapa

All in all UBAHIRI NDIO SIRI YA UTAJIRI.
 
Kuna time mwaka 2014 nilipambana nikajikuta nimetengeneza kama million 85 hivi nikiwa na Miata 26 tu! Wow!

Baada ya kuupata pesa nikapaparika nikakosa utulivu... Nikataka kuzidouble zile pesa kwa haraka, nikapewa fursa ya biashara Mona nikaingia mzima. Kilichofuata Hadi 2015 nilikuwa na madeni ya million 6 na Sina hata mia mfukoni.

Nikajikaza na kupambana tena Hadi leo kwenye account nna Million 11 na graph inaenda tena juu. Naamini Hadi mwakani nitakuwa na million 100 na nitarudi tena Barabarani.
 
Mi sister angu aaah alikua anahongwa hadi mil 50, mil 20, mil kumi......Kuna rfk ake na Ridhiwani Mzungu mmja hiv kam spoil sana sister sir tupo tunatoa mimacho tu.....eeh ukimuona sa hv sister angu yani sio yule R Dangote yani hata ukimwambia ccy twende ukanispoil anakwambia mdg angu sina ubavu huo

Mim kuhongwa pesa kubwa kabisa ni mil 5 nkahongwa mara ya pili tena mil 3 nkaongezea nkafungua biashara siku ya siku nliibiwa kila kitu dukani nlikua chizi fresh
Aiseeee
 
Back
Top Bottom