Aisee noma.sanaa[emoji3][emoji3]Mwezi wa tatu mwaka jana nikapewa mil 8 za mirathi. Nikawaza nifanyie nini? Wazo langu la kwanza, ninunue shamba porini, nifuge mbuzi na kondooo. Nikaenda minada ya mbuzi na kondooo, nikakuta hali siyo nzuri. Yaani vitoto vinauzwa kwa bei ya mbuzi na kondoo waliokomaa.
Jamaa yangu akanishauri tuchonge mitumbwi na kununua nyavu. Mwanzoni nikapewa tu hela, nikaongeza mtaji.
Nashtuka naambiwa nyavu za 2mil zimeibiwa. Hadi sasa nimebaki na mitumbwi yenye rangi ya tanganyika tu
kuna dem wangu alikua mkoa mwingine bas skuhyo karudi na vihela akataka tukatembee mwanza tukaenda ila alikua na mawenge sana na hela zake nikazila zila nikabahatika kumchomoa 3m nikasepa zangu na sidhani hata kama alibakiwa na nauliDu acheni kunikumbisha, nilikuwa nafanya kazi sehemu flani wafanyakazi wenzangu wakashawish kampuni iwe inatoa mkopo Mara pa ikakubaliwa na wenzangu walichukua mkopo mkubwa na Mimi nikachukua 8ml, do kwanza sijazigusa mwezi mzima najaza mipango kwenye makaratasi, usiku naamka napanga mipango, nikapata wazo nidroo pesa zote nikae nazo Ndani.
Nikadraw, siku moja kama demu wangu kaniambia mbona siku hizi unapiga mahesabu sana na makaratasi mengi mezani, nikamwambia hamna mipango tu, Mara akajua Nina pesa, akaja home sijui alinitime VIP akaiba zote, kuna machinga nilimuambia aniletee pas original asijal gharama, siku kaja nachek bahasha sioni pesa nampigia simu Selina hapatikani, nauliza nkaambiwa ameenda Morogoro, jamaa anasema pasi elfu 40, kaiacha hapo,
Wew ni muhindi!?Kuna jamaa yangu mmoja alikuwaga anafanya kazi sheli fulani kitengo cha stoo ye ndo anajua yameingia mafuta kias gani na yametoka kiasi gani jamaa alipoizoea kazi akaanza kupiga cha juu yeye na jamaaa zake wawili Sababu Ile sheli ilikuwa inahumia magari ya serikali na viwanda vikubwa akawa anakula njama na madereva wanapiga cha juu enzi za jakaya.
Maisha yakaendelea jamaa na wale wenzake maisha yakawa bomba wakajenga majumba mjini sehemu t ofauti ila nyumba walizokuwa wanakaa wakajenga sehemu moja majumba ya ukweli kwa mtu asiyefahamu kazi Yao ungedhani wanapiga kazi migodini au wafanyabiashara wakubwa au watu wenye nyadhifa kubwa serikalini wakafungua biashara mbali mbali kweli wakawa H abari ya mjini kutokana na jinsi walivyodesign zile nyumba zao na wakajenga sehemu moja .
Kilichowaroga wakanunua magari ya kifahari wakawa wanaibuka nayo kazi mmoja Lexus ,mmoja x3,mwingine prado tx wakawa wanaenda nayo kazini kwenye shell ya muhind hicho ndo kiliibua maswal mfanyakazi anayelipwa 120000 kwa mwez anawezaje kumiliki magari ya kifahari namna hiyo within two years ndo uchunguzi ukafanyika wa kimya kimya wakagundua njama zao ndo wakafukuzwa kazi walifunguliwa mashtaka ya wizi wakawa wameshinda mahakamani maana washitaki walikosa vielelezo vya ushahidi wa waliiba Wapi basi kesi ikaisha muhindi aliwaambia kitu kimoja akawabembeleza Mara kwa Mara kwamba wauze zile Mali wamrudishie ela yake hata nusu lasivyo watahangaika mpaka mwisho wa maisha Yao jamaa wakaona muhindi anatania.
Maisha yakaendelea miezi ikasonga walianzaga kufilisika biashara haziendi vitu vya kule nje majumba wakaanza kuuza hadi magari life likawa gumu wote wakabaki na Yale majumba.
Alianza mmoja akauza akakimbilia visiwani na familia yake mwingine naye akafata akamuuzia mnunuzi aliyenunua Ile ya awali ilikuwa kampuni ya wazungu akabaki jamaa yangu uyo akawa mgumu kuuza nyumba make angehangaika plan yake ilikuwa abaki na nyumba aje aiombee mkopo au akipata mtu mwenye ela nzuri ndo auze ajenge nyumba ya kawaida kama m30 hivi apo ashapigika watoto alikuwa amewapeleka medium school kawahamishia kwa gvt Kula anagongea kwa ndugu na jamaa .
Wakati anawaza hivyo ndo tetemeko la ardhi likapitia nyumba yake ikaharibika vibaya sana haikuwepo namna z aidi ya kubomoa akajenga upya ndo jamaa akawa ameishia apo alikimbia mji sijui yuko Wapi.
Wito:wizi sio mzuri hasa kiwaibia hawa wahindi
[emoji2][emoji2] sawa sawaBora kupewa hyo laki na rinda lako likabaki salama huyo wa milion 50 rinda haliko salama
Daaah..pole sana jamaa.Mwezi wa tatu mwaka jana nikapewa mil 8 za mirathi. Nikawaza nifanyie nini? Wazo langu la kwanza, ninunue shamba porini, nifuge mbuzi na kondooo. Nikaenda minada ya mbuzi na kondooo, nikakuta hali siyo nzuri. Yaani vitoto vinauzwa kwa bei ya mbuzi na kondoo waliokomaa.
Jamaa yangu akanishauri tuchonge mitumbwi na kununua nyavu. Mwanzoni nikapewa tu hela, nikaongeza mtaji.
Nashtuka naambiwa nyavu za 2mil zimeibiwa. Hadi sasa nimebaki na mitumbwi yenye rangi ya tanganyika tu
Pesa ni silaha, ukiwa nayo njaa njaa haziwezi kukusogelea maana zinajua utaziadhibu vikali,Hivi kuna uhusiano gani Kati ya kukosa pesa na njaa?..
Maana ukiwa na pesa hata njaa husikii.
Ila uwe huna pesa sasa!!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Pesa ni silaha, ukiwa nayo njaa njaa haziwezi kukusogelea maana zinajua utaziadhibu vikali,Hivi kuna uhusiano gani Kati ya kukosa pesa na njaa?..
Maana ukiwa na pesa hata njaa husikii.
Ila uwe huna pesa sasa!!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ukiona mke na watoto walimtenga huyo alitumia pesa peke yake bila kuwagawia watoto na mke wake, kama angewapa mgao watoto na Mama yao wala hasinge teseka kwa kutengwa.Kufilisika kusikie tu. Binamu yangu alipataga mil. 600. Aliuza nyumba mikocheni , akanunua nyingine Mbezi beach milioni 200, na kuifanyia finishing iliyokuwa imebaki. Milioni 350 ziliisha hivihivi, alifungua duka la spear used za magari likafa etc. Aliishiwa hata hela ya nauli alikosa. Mbaya zaidi watoto na mkewe walimtenga kwa kuugua. Alikufa mwaka jana na stress.
NakubaliPesa ni silaha, ukiwa nayo njaa njaa haziwezi kukusogelea maana zinajua utaziadhibu vikali,
lakini kama pesa hakuna[emoji23][emoji23] njaa zinakufata kwa fujo maana zinajua hauwezi kuzifanya chochote,, ni kama wale Nzi wadogo wanaozungukiaga Karibu na sikio,, ukiwa una Mikono unaweza kuwafukuza,, ila kwa asiye na Mikono atakubali tu
Jamanii Pesaa ya BUMUU sio pesaa.. yaani unapewa kilaki 6 ndani ya week hujahonga hata.. Pesaa hunaa...!! Unaanza kushindiaa mikatee..Ivii mshahara unawezaje kutosha..!??? Discipline ya helaa wanayo wachache snaa
AiseeeeMi sister angu aaah alikua anahongwa hadi mil 50, mil 20, mil kumi......Kuna rfk ake na Ridhiwani Mzungu mmja hiv kam spoil sana sister sir tupo tunatoa mimacho tu.....eeh ukimuona sa hv sister angu yani sio yule R Dangote yani hata ukimwambia ccy twende ukanispoil anakwambia mdg angu sina ubavu huo
Mim kuhongwa pesa kubwa kabisa ni mil 5 nkahongwa mara ya pili tena mil 3 nkaongezea nkafungua biashara siku ya siku nliibiwa kila kitu dukani nlikua chizi fresh
Wewe ni fighter kmamaeHii comment yako mkuu, imehamasisha wengi. Shukrani sana