Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Aisee hata mm wa kangomba dah ni maumivu..aisee nasikia watu walijinyonga.Wakati Hayati Rais Magufuli anatoa agizo la kwamba Serikali itanunua Korosho toka Kwa wakulima baada ya,kuona wafanyabiashara Wana bid Kwa pesa ndogo, waliolipwa ni wakulima tu tena walioonyesha mashamba yao (hati).
Walanguzi wote a.k.a wazee wa kangomba walipigwa chini na ndipo wengi walipopoteza mitaji yao na kufilisika na wengi tu walikufa Kwa pressure.
Magufuli alikuwa mkatili Sana mbaya zaidi alikuwa akijihisi malaika!Wakati Hayati Rais Magufuli anatoa agizo la kwamba Serikali itanunua Korosho toka Kwa wakulima baada ya,kuona wafanyabiashara Wana bid Kwa pesa ndogo, waliolipwa ni wakulima tu tena walioonyesha mashamba yao (hati).
Walanguzi wote a.k.a wazee wa kangomba walipigwa chini na ndipo wengi walipopoteza mitaji yao na kufilisika na wengi tu walikufa Kwa pressure.
Ninaye mmoja ndani kanisababishia mpaka naoneka zoba kwa majirani,nishajiapiza siwez kuwa na mchepuko ila ntazivua kyupi zao kwa kulipia!!Hawa dawa ni kuwavua kyupi basi lakini sijui ufuge ndani kama mke hapana aisee.
Naona diamond kawapatia ni kuwasasambua tuu
Kula raha mwanawane...Ninaye mmoja ndani kanisababishia mpaka naoneka zoba kwa majirani,nishajiapiza siwez kuwa na mchepuko ila ntazivua kyupi zao kwa kulipia!!
wanabadilika hao!!Fuga ndani kama mke yule anaekuelewa. Yule submissive to you not virse versa.
Ndio maana ktk uchumba ni vema ukajarib matukio ya kutokuwa na pesa , reaction yake itakupa picha mtu ulie nae.
Sio wote wabaya, but wazuri ni wachache sana
Tayari uliemuamini kaisha kuoiga tukio huko naona tena kamtunuku jirani dadeqNinaye mmoja ndani kanisababishia mpaka naoneka zoba kwa majirani,nishajiapiza siwez kuwa na mchepuko ila ntazivua kyupi zao kwa kulipia!!
mataji wa kupewa bila uzoefu auwezi kudumu labda kwanza ufundishweNikiwa nimemaliza chuo sina hili wala lile, niko kitaa nikijipanga, nikachangiwa na ndugu zangu mtaji wa milion 4 point something huko, niende nikafanye biashara ya mchele toka Moro vijijini kuleta mijini na kusambaza kwa bei ya jumla.
Biashara mwanzo ilienda vizuri, mwisho wateja wangu wa siku zote wakawa wakopaji wangu wakubwa, malipo yakawa ya kuzungushana, nikawa mkali kidogo ila kwa bahati mbaya pesa ikawa ndogo kwenye mzunguko wangu, sinunui tena zile kilo nilizoanza nazo kwa wakati, mambo yakawa tofauti kidogo, nikaenda weee.
Mwisho wa siku nikachanganyiwa mchele kipuuzi kabisa na mtu ambae nilikua namuamini, nikajikuta nipo na mchele wa vitumbua na jamaa yule kakimbia, hapo ndio ukawa mwisho wangu, nilifilisika kama kuku, ndugu zangu hawakunielewa tena, nilipata stress kama tani 7 hivi.
Wakati tena nikapataga milion 3 kwa enzi zile haikua haba aisee, nikawa naishi vizuri tu, hizo elf 10 kwangu zilikua buku, sina cha kujibania kwa kweli, kuja kustuka nimenunua friji na tv tu vya geto tena ka friji kale kadogoo kabisaa, hela yotee imeisha katika njia zisizoeleweka, nilichanganyikiwa tena, sina nidhamu ya fedha.
Mwisho nikarudi zangu kusoma tena chuo ndio nikaja kutoboa kwa njia zingine kabisa kwa kutumia kazi niliyosomea.
Je, wewe unakumbuka vipi? Nini kilikupata?
Walishindwa kuficha koroshoWakati Hayati Rais Magufuli anatoa agizo la kwamba Serikali itanunua Korosho toka Kwa wakulima baada ya,kuona wafanyabiashara Wana bid Kwa pesa ndogo, waliolipwa ni wakulima tu tena walioonyesha mashamba yao (hati).
Walanguzi wote a.k.a wazee wa kangomba walipigwa chini na ndipo wengi walipopoteza mitaji yao na kufilisika na wengi tu walikufa Kwa pressure.
Joined 26 ..2023Hujui jinsi ya kupata mademu njoo dm nikupe lecture million 4 unaweza lala kilasiku na demu vip tena mwezi mzima humalizi 3 million
Duuu poleHayo ndio yanayo nikost Mimi na mume WANGU... FUNGA, fungua kila siku ela z uku zinaend kununua vinywaj kwa wiki yeye peke yake anakunyw kret 3 had 4 maana anajua n MARAFIKI na si mchoyo....nimeongea NIMECHOKA NIMEAMUA nikae kimya na mm sinywi pombe lakin mwenzangu Muhaya huyu anakoga sio kunywa
Kaa kimya ndug yangu, huwajui wanawake bado... Ukija kuwajua utakuja kufuta ulichoandika...Ukiona mke na watoto walimtenga huyo alitumia pesa peke yake bila kuwagawia watoto na mke wake, kama angewapa mgao watoto na Mama yao wala hasinge teseka kwa kutengwa.
Hii ni second I'd mtaalamuJoined 26 ..2023
10% kuupa mwili pole.Shida ya WaTz tunataka tufosi mambo ambayo hayana uhalisia. Hata iweje pesa za madili au pesa unazopata kwa mkupuo au bila mpangilio ni ngumu sana kufanyia miradi itakayo kuingizia pesa. Tena ukitaka ufilisike haraka hizo pesa ziingize ktk biashara... Jiwekee mipango ya kimaisha kwamba nikipata pesa nitanunua kiwanja au nyumba au nitaanza ujenzi. Hii mentality itakusaidia kukumbusha kuzitupa pesa haraka ktk mipango yako... Halafu kingine cha ukweli ambacho watu hamkisemi kawaida mwanaume ukipata pesa ambayo unaiona ni nyingi ktk maisha yako basi utambue 10-20% ya hiyo pesa lazima ufanyie anasa, kwahio ni vzuri kuukubali huu ukweli ili ukipata pesa tenga pesa kwajili ya anasa, zinazobak wekeza kwenye Assets... Mimi sina cha ku regret kwasabab naishi ktk mfumo huu, nikipata million 100 najua kabisa million 10 nitazitumia kujipongeza kwa ugumu wa maisha..
Hahahahah binadamu tunakosea tuomba vitu badala ya kumtaka mwenye vitu ikiwa ningeomba uwepo wa Mungu ndani yangu pesa angenipatia kama ziada na ile huduma ingekwenda vzr kbs bila upungufu.
Tujifunze kuomba uwepo wa Mungu ndani yetu tuache kukimbizana kutaka baraka na suluhisho la shida zetu hayo mahitaji yetu anayajua na atatupatia tu ttzo letu hatuna imani tumejawa hofu na mashaka
Nina mjomba wangu mmoja hivi alikuwa anaimba imba kwenye hizi bendi za muziki kipindi hicho. Unawataja ma papaa, watu wazito alaf wanakutunza pesa ndefu. Sasa sijui alipigaje hela, ila alikuja kumiliki pesa ndefu. Mjini akawa yeye ndio Don, kila kona ana demu. Muda wote kachomekea, starehe mwanzo mwisho. Baada ya miezi kadhaa akafulia mbaya, hadi soo.
Akapotelea migodini. Huko alikaa kama miaka miwili au mitatu. Akapiga mshindo wa maana. Kurudi town ana hela chafu. Akiingia bar anatoa watu wote, anaikodi bar alaf anabaki na wapambe wake tu. Kuna siku mlevi mmoja wakati anatolewa nje kwavile bar imekodiwa na anko, yule mlevi alitukana. Anko akaomba aitiwe huyo aliyetukana. Kabla hata hajamwangalia usoni, akamuagiza mhudumu ampe yule mlevi kreti za bia sawa na urefu wake. Siku nyingine anaweza akatoa order kuwa wahudumu wote wa bar wabaki na pichu tu na sidiria. Haikupita miaka miwili akafulia mbaya.
Alivyofulia akapotea bila kujua kaenda wapi. Akaja kuibuka baada ya miaka kadhaa. Siku anakuja home kanawiri kichizi, akampa bi mkubwa (mama angu mimi) busness kadi yake ambayo inaonesha yeye ni engeneer na anamiliki kampuni ya ujenzi wa barabara (anko aliishia la saba) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi ameshaoa na ana life zuri tu. Ukimpigia simu story zake ni either yupo njiani anaenda makao makuu Dodoma au yupo njiani anatoka kule. Ukimpigia simu asipopokea, badae akikuchek utaskia alikuwa kwenye kikao na Mama ndio maana hakupokea (hapo anamaanisha mama Salma Kikwete)
Mara ya mwisho kumpigia simu aliniambia "Ngoja naingia Usalama, ntakuchek badae, siunajua ofisi za watu hizi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu akupe maisha marefu anko.
Anko ni balaa. Mpambanaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]katika Zote nilizosoma anko kiboko kabisa[emoji119][emoji119]
Vipi aisee Anko bado yupo? Vipi utawala wa MAGU alipita salama anko?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina mjomba wangu mmoja hivi alikuwa anaimba imba kwenye hizi bendi za muziki kipindi hicho. Unawataja ma papaa, watu wazito alaf wanakutunza pesa ndefu. Sasa sijui alipigaje hela, ila alikuja kumiliki pesa ndefu. Mjini akawa yeye ndio Don, kila kona ana demu. Muda wote kachomekea, starehe mwanzo mwisho. Baada ya miezi kadhaa akafulia mbaya, hadi soo.
Akapotelea migodini. Huko alikaa kama miaka miwili au mitatu. Akapiga mshindo wa maana. Kurudi town ana hela chafu. Akiingia bar anatoa watu wote, anaikodi bar alaf anabaki na wapambe wake tu. Kuna siku mlevi mmoja wakati anatolewa nje kwavile bar imekodiwa na anko, yule mlevi alitukana. Anko akaomba aitiwe huyo aliyetukana. Kabla hata hajamwangalia usoni, akamuagiza mhudumu ampe yule mlevi kreti za bia sawa na urefu wake. Siku nyingine anaweza akatoa order kuwa wahudumu wote wa bar wabaki na pichu tu na sidiria. Haikupita miaka miwili akafulia mbaya.
Alivyofulia akapotea bila kujua kaenda wapi. Akaja kuibuka baada ya miaka kadhaa. Siku anakuja home kanawiri kichizi, akampa bi mkubwa (mama angu mimi) busness kadi yake ambayo inaonesha yeye ni engeneer na anamiliki kampuni ya ujenzi wa barabara (anko aliishia la saba) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi ameshaoa na ana life zuri tu. Ukimpigia simu story zake ni either yupo njiani anaenda makao makuu Dodoma au yupo njiani anatoka kule. Ukimpigia simu asipopokea, badae akikuchek utaskia alikuwa kwenye kikao na Mama ndio maana hakupokea (hapo anamaanisha mama Salma Kikwete)
Mara ya mwisho kumpigia simu aliniambia "Ngoja naingia Usalama, ntakuchek badae, siunajua ofisi za watu hizi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu akupe maisha marefu anko.
Alipita fresh tu, mpaka sasa ni contractor, wafanyakazi wake wanamuita injinia, nadhan hawajui kama aliishia la saba π π π .Vipi aisee Anko bado yupo? Vipi utawala wa MAGU alipita salama anko?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
...huyu kama kaka yangu kabisaAlipita fresh tu, mpaka sasa ni contractor, wafanyakazi wake wanakuita injinia, nadhan hawajui kama aliishia la saba [emoji28][emoji28][emoji28].
Mwaka juzi tulienda kijijini kwenye msiba. Mida ya jioni palitokea ugomvi, siunajua misiba ya kiafrika,pombe zinakuwa nyingi. Sasa kwenye ule ugomvi, kwa hasira Anko akawa anashika kiunoni kama anataka kutoa bastola, baadhi ya wanakijiji wakatawanyika (wanakijiji wanajua Anko ni usalama wa Taifa). Mkewe akawa anacheka sana kwa kile kitendo, anatwambia "Huyo bastola anaiona kwenye movie tu, hata kuiona kwa macho yake hajawahi, sembuse kuwa nayo?" [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]