Tuliowahi kupiga/kupigana au kupigwa tukumbushane hapa

Hahahha nguzi nyingine.
Nilishawahi kuligana na dogo moja wa uswazi akanibinya macho mpaka nikaomba poo. Saa hizi nikipita kitaa namcheki nasema hiii huyu arudie ule ujinga nitampelekea moto hadi aombe poo

God save us
 
Hahaa,enzi hizo kuna dogo alinidunda dah ,alikua mkubwa kidogo kwangu ila alikua mfupi, mimi nilikua mrefu chembamba, nikawa navimba naweza kumdunda hanitishi etii, weee kilining'ang'ania kikaniangusha chini, nilipiga kelele(kilio[emoji3][emoji3]).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…