U t i
Member
- Mar 27, 2018
- 9
- 12
Huyu Judith wangu aliwahi kunisaliti akakamata ujauzito wa mwanaume mmoja wa Mwanza anayefahamika kwa jina la Ale. Akautoa kwa siri ila nikamshtukia. Hayo yote ni baada ya kuwa nipo masomoni ila baada ya kurudi nikamtwanga Talaka.
Je wewe na huyo Judith wako nini kilitokea?
Je wewe na huyo Judith wako nini kilitokea?