Tuliowahi kusalitiwa na mtu anayeitwa Judith njoo tupeane pole hapa

U t i

Member
Joined
Mar 27, 2018
Posts
9
Reaction score
12
Huyu Judith wangu aliwahi kunisaliti akakamata ujauzito wa mwanaume mmoja wa Mwanza anayefahamika kwa jina la Ale. Akautoa kwa siri ila nikamshtukia. Hayo yote ni baada ya kuwa nipo masomoni ila baada ya kurudi nikamtwanga Talaka.

Je wewe na huyo Judith wako nini kilitokea?
 
[emoji121]
MNATARAJIA KUFUNGUA LINI SHULE?

[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
inaelekea haujaweza kumsahau judith...ipe nafsi yako nafasi ya pili kuishi na judith,mwanamke amekusaliti hadi kupewa ujauzito nje ila bado baada ya miaka unaanzisha thread kumhusu yeye ni wazi kuwa bado yupo kichwani,mtafute tuu asije akakupa uchizi wa mawazo...

niliwah kuacha mke na nikamtelekezea mtoto kwa hasira kwa kosa flan ila halikuwa usaliti,nilijikuta nakuwa mtumwa wa kumfatilia maisha yake na kila analofanya ila nilijipa moyo kuwa namfatilia kwasabab ana kijana wangu

mzee mwenzangu mtafte huyo bibie myamalize....
 
mimi nilimwacha Judith baada ya kugundua ni CCM.
 
Judy alishindwa kuvumilia na ny. eg. e na hivi ulikuwa masomoni
 
Bado hyo n kdogo
Yakikukuta vzr utaswet mpka
Unyayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…